My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Ni mara nyingi mno niwalalamikia TISS kwa uzembe wa kutojua na kufuatilia mambo yenye tija kwa Taifa, badala yake wamekuwa wepesi kujua ni wapi wapinzani wanakutanika ili kudai katiba mpya.
Lakini kujua hujuma zinazofanywa na wafanyakazi waovu wa Serikali eti hawaijui. Taarifa za uhakika kutoka mkoani Shinyanyanga zimenifikia zikidai kuwa Shirika la umeme TANESCO katika wilaya mpya ya msalala maeneo yanayozunguka mgodi wa Bulyanhulu na vijiji vyake vya kakola, Bugarama na Ilogi yamekuwa yakikumbwa na ukosefu wa umeme kila mvua zinapotokea, yaani TANESCO eneo hilo wamechimbia nguzo kwa futi mbili badala ya futi nne kwenda chini kama inavyoshauriwa na wataalamu.
Lengo lao kila nguzo zinapoanguka wao hupiga Pesa za allowance na overtime zingine. Huu ni mkakati maalumu waliojiwekea ili wapige Pesa. Kwamba nguzo zinasimikwa legelege makusudi kabisa ili hata upepo mdogo tu ukitokea zianguke watu wapige Pesa.
Hii ni economic sabotage,na wameshafanya hivyo zaidi mara kumi.
Napoandika eneo lote hilo halina umeme eti nguzo zaidi ya 15 zimeanguka. Ajabu ni kwamba, maeneo hayo hayo yanayodaiwa kupigwa na upepo kuna nguzo bado zipo imara na hazijaanguka na zile zilizoanguka zimeanguka kwa kufuatana "series"yaani hata mjinga akiona anajua kabisa huu ni usanii mtupu.
Kwenye Taifa maskini kupindukia kama Tanzania umeme kufanyiwa hujuma ni ukatili wa kutisha huu. TISS,badilikeni mlinde Uchumi wa nchi na watu wake.
Hujuma kama hizi zimesambaa Tanzania nzima na hakuna wa kuwagusa Majambaz haya ya kiuchumi.
Lakini kujua hujuma zinazofanywa na wafanyakazi waovu wa Serikali eti hawaijui. Taarifa za uhakika kutoka mkoani Shinyanyanga zimenifikia zikidai kuwa Shirika la umeme TANESCO katika wilaya mpya ya msalala maeneo yanayozunguka mgodi wa Bulyanhulu na vijiji vyake vya kakola, Bugarama na Ilogi yamekuwa yakikumbwa na ukosefu wa umeme kila mvua zinapotokea, yaani TANESCO eneo hilo wamechimbia nguzo kwa futi mbili badala ya futi nne kwenda chini kama inavyoshauriwa na wataalamu.
Lengo lao kila nguzo zinapoanguka wao hupiga Pesa za allowance na overtime zingine. Huu ni mkakati maalumu waliojiwekea ili wapige Pesa. Kwamba nguzo zinasimikwa legelege makusudi kabisa ili hata upepo mdogo tu ukitokea zianguke watu wapige Pesa.
Hii ni economic sabotage,na wameshafanya hivyo zaidi mara kumi.
Napoandika eneo lote hilo halina umeme eti nguzo zaidi ya 15 zimeanguka. Ajabu ni kwamba, maeneo hayo hayo yanayodaiwa kupigwa na upepo kuna nguzo bado zipo imara na hazijaanguka na zile zilizoanguka zimeanguka kwa kufuatana "series"yaani hata mjinga akiona anajua kabisa huu ni usanii mtupu.
Kwenye Taifa maskini kupindukia kama Tanzania umeme kufanyiwa hujuma ni ukatili wa kutisha huu. TISS,badilikeni mlinde Uchumi wa nchi na watu wake.
Hujuma kama hizi zimesambaa Tanzania nzima na hakuna wa kuwagusa Majambaz haya ya kiuchumi.