TANESCO/Serikali kuweni wawazi, huu ni ukatili kwa Watanzania

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,663
Nina kazi ya deadline kesho na leo siku nzima umeme hakuna tangu saa tatu asubuhi umerudi saa moja. Na siyo leo tu ,Its been a week now, kama kujiajiri nimejiajiri LUKU nanunua, daah haya bana naona Waziri anaringa tu kwenye media kwamba tuna excess ya umeme sasa kama shida ni matengenezo si mtupe ratiba tuweze kuwaomba clients wetu kusogeza submission

Kikwete na madhaifu yake yote kama kulikuw ana shida ya umeme tulikuwa tunajua na tunajiandaa sasa hii style ya kuzibaziba INATUUMIZA JAMANI, WTF IS WRONG WITH YOU GUYS?

Niwaambie sasa hata hao watangazaji wanaowasifia redioni tunakunywaga nao sana mitaani huku wanaongea ukweli kwamba wanawasifia kinafiki hawakubaliani na mengi sana thats why kuna mkuu wa mkoa mmoja zamani alikuwa mungu mtu majuzi ilikuwa birthday yake kachuniwa hata mechi za simba siku hizi uwanjani haendi tena

KUWENI NA UTU NDUGU ZANGU MKO KWENYE MA VX WENGINE TUNA STRUGGLE MMEHARIBU SEKTA BINAFSI HATA STRUGGLE YETU NDOGO MNAIHARIBU PIA ?MNATAKA TUFANYE NINI JAMANI
 
Hatari sana mkuu kama kaz zako za PC nunua PC yenye uwezo mdogo kama kazi ni internet na document processing, mimi PC yangu inakaa na chaj almost 7 hours nikiwa naitumia kwasababu ina specifics ndogo.
 
Hatari sana mkuu kama kaz zako za PC nunua PC yenye uwezo mdogo kama kazi ni internet na document processing, mimi PC yangu inakaa na chaj almost 7 hours nikiwa naitumia kwasababu ina specifics ndogo
Nafanya graphics nzito hadi 3d natumia i mac ndugu yangu,yaani hapa nimechanganyikiwa there is now way na beat deadline kesho hata nikiweza itakuwa chini ya kiwango, thanks kwa watu wenye masifa na kuficha ukweli,waseme tu ukweli na sisi tuseme ukweli kwa clients wetu
 
Tanesco bana mimi nawaacha tu ila naamini ipo siku wataingia na kujaa kwenye 18 za Raia na hawataamini kitakachotokea
 
Afadhali wewe Mkuu, kuna mtu utakuta yupo na wife wake wameweka porn kama kawaida ya wakubwa kwenye ka CD player kake night watoto wamelala Mara paap hao wamekata,unarudi kesho mchana na wote wapo job na venye unajua ule mlango wa CD haufunguki bila umeme ndo utajua haujui ukirudi umeme haupo na watoto wamebaki,


Natania tu wadau!
 
Pole mkuu
Mkuu tunapigiwa kelele kila siku na masimango juu kwamba tujiajiri ndo tumejiajiri sasa,kazi ninayofanya ni heavy ina render kwa masaa 9 clients anasubiri kesho saaa 4 hapa bado hata sija maliza nikianza rendering labda saa 11 asubuhi. Dah kwakweli nafikiri niibebe machine niende nayo kwa client kesho nimfungulie project na kumuambia ukweli tu ila shukrani kwa tanesco wameniweza
 
Uchumi wa kati wa kwenye makaratasi! Umeme pia tatizo!
 
Nafanya graphics nzito hadi 3d natumia i mac ndugu yangu,yaani hapa nimechanganyikiwa there is now way na beat deadline kesho hata nikiweza itakuwa chini ya kiwango, thanks kwa watu wenye masifa na kuficha ukweli,waseme tu ukweli na sisi tuseme ukweli kwa clients wetu
Pole sana mzee....hapo tafuta msaada wa Generator uokoe pesa hio
 
Pole sana mzee....hapo tafuta msaada wa Generator uokoe pesa hio
Sina uwezo mkuu I mac yenyewe nimekodi kwa mtu nifanye hii project sababu ni core I 7 na mimi natumia element 3d plugins za after effects ,real heavy stuffs,jamaa kanifanyia kiroho safi tu hela ndogo kwa week moja. Advance nishakula submission kwa client inaleta shida sababu ya siasa za kujimwambafai na kukatiana umeme
 
Kiukweli hili suala la kukatika umeme limeshakua kero aisee, mambo mengi sana yanasimama. Tanesco msitufanyie hivi jamani
 
Yaani,mimi nimeamka nikaingia kwa mkutano ulikuwa zoom wa masaa 4, na baadaye namkutano mwingine wa kama masaa 3 kwa njia ya zoom. Nikapiga hesabu 10hrs du kilaptop changu kitakufa. Sasa ikabidi nijisogeze eneo lenye umeme sehemu za morroco yaani najiuliza kwa nini hawatangazi watupe ratiba tujiandae.

Naanza kupata wasiwasi na sifa anazopewa mkuu nilikuwaga sifuatilii kiivyo kinachoendelea nchini kwa sababu niko busy sana na kazi zangu na nimeamua kuishi hayo maisha .Sasa huyu anaturudisha nyuma kwa sifa za kiongo kwa kweli. Awamu ya 5 badilikeni ili na sisi tubadilike, mpaka Watanzania nao wamekuwa waongo sana
 
Back
Top Bottom