Codon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 629
- 93
Sikutatu nyuma Tanesco wamekuwa wakita matawi yamiti iliyokaribu nawaya zaumeme.Mimi nishaidi nimeona wamekata matawi barabara inayoelekea Bonyokwa,matawi haya mengi yameachwa barabarani nakufanya iwe ndogo hivyo ipitike kwashida mno nakwahatari sana!Swali,Ndio utaratibu wenu Tanesco?Je huu niustaarabu unaweza onyeshwa na Shirika kubwa kama hili?Au kwavile nibarabara ndogo isiyopitwa nawakuu wataifa hili?Ushauri,Badilikeni kwasasa Watanzania hawaliangalii Shirika lenu vizuri!Msiongeze matatizo kimtazamo.