Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 482
- 176
Tokea jana usiku hapa kwetu umeme unacheza kati ya volti 70 mpaka 270 na unahatarisha usalama wa vyombo vyetu. Yaani hapa nimezima kila kitu. Tatizo la umeme mdogo ni la siku nyingi hapa mbweni baharini karibu na chuo cha usalama wa taifa.
Tatizo hili la kuyumba kwa umeme kila baada kama ya dakika kumi kwa kupananda na kushuka mpaka vitu vyote vinazimika lilianza jana usiku.
Nawaomba TANESCO TAGETA AU WENGINE MNAOHUSIKA MSHUGHULIKIE SWALA HILI MAPEMA, MHAKIKISHE TUNAPATA UMEME WENYE VOLTI ZA KUTOSHA SIO KILA SIKU UMEME UNASHUKA NA INABIDI KILA KITU UTUMIE STABILIZER INAYOWEZA KUPANDISHA UMEME KUTOKA 100VOLT MPAKA 220. UNAPOSHUKA MPAKA 70 VOLT NDIPO MAJANGA YANAPOANZA.
TIMIZENI WAJIBU WENU NDIO MTUTAKE TULIPIE BEI KUBWA
Tatizo hili la kuyumba kwa umeme kila baada kama ya dakika kumi kwa kupananda na kushuka mpaka vitu vyote vinazimika lilianza jana usiku.
Nawaomba TANESCO TAGETA AU WENGINE MNAOHUSIKA MSHUGHULIKIE SWALA HILI MAPEMA, MHAKIKISHE TUNAPATA UMEME WENYE VOLTI ZA KUTOSHA SIO KILA SIKU UMEME UNASHUKA NA INABIDI KILA KITU UTUMIE STABILIZER INAYOWEZA KUPANDISHA UMEME KUTOKA 100VOLT MPAKA 220. UNAPOSHUKA MPAKA 70 VOLT NDIPO MAJANGA YANAPOANZA.
TIMIZENI WAJIBU WENU NDIO MTUTAKE TULIPIE BEI KUBWA