TANESCO nini shida, umeme sasa ni highly unpredictable, yaani kwa siku unakatika hata mara nne, tano, tutafiki kwel?

Hapana,hii sio kweli,ni scapegoat.Kama umeme hautoshi waanze mgao basi,ili tujue moja.Na kwa nini wasiseme tukajua moja kama tatizo ni uhaba wa umeme?No,kwa jinsi umeme unavyokatika na kuwaka,hili si suala la uhaba wa umeme,kuna matatizo mengine.
Hii serikali haipendi kukubali kama kuna tatizo!
 
TANESCO imenikumbusha the terrible times we had in 2015.Baadaye ikagundulika hata hivyo kwamba it was sabotage. Mimi sitaki kuamini kwamba hii situation ya sasa ni sabotage, ingawa kwa jinsi hali ilivyo,it can well be,kwa hiyo kuna haja ya "the state machinery" too look into it.Huu uchomwaji wa nguzo to me ni very suspicious,it could be an inside job.

Hali tuliyo nayo hivi sasa ni almost sawa na scenario ya 2015.Sio siri,huduma ya umeme kwa sasa inakera,inakera inakera na ni duni sana.How long we can endure this seriously I do not know,but honestly,the times are hard. Nawahurumia sana watu wenye biashara zinazotegemea umeme 100%,kwa sababu ends can't meet I am sure.Yaani kwa siku umeme unakatika hata mara sita, and may be even more.Really?Jamani we are a third World country,lakini this is too much.

Sasa hivi ninapoandika hii comment,hakuna umeme, na tangu asubuhi umekatika almost three times.No guys,tuwe serious.Kwa jinsi hii kweli tutafanikisha sera yetu ya viwanda, no way, kwa kuwa hili ni swala la weledi,committment and nationalism.

Jambo la kuchukiza ni kwamba,matatizo yanayotolewa ni very flimsy,ambayo watu wakiwa serious yanatatulika.

Sababu kama nguzo zimeanguka, nguzo zimeungua,nguzo zimechomwa yanatatulika. Sometimes hata hakuna maelezo!Mnaambiwa tu we are sorry umeme umekatika mafundi wako kazini. Jamani TANESCO tumechoka, tunataka umeme wa kuaminika.Please give us what we rightly deserve.
Nilitegemea utaje maeneo uliyopo ili Tanesco waelewe na watz tujue unaongelea matatizo yako maeneo yapi kwa sababu kwetu huku Mbezi Beach tulishasahau matatizo ya umeme na maji mkuu. Please be specific with the area you are talking about!
 
Nilitegemea utaje maeneo uliyopo ili Tanesco waelewe na watz tujue unaongelea matatizo yako maeneo yapi kwa sababu kwetu huku Mbezi Beach tulishasahau matatizo ya umeme na maji mkuu. Please be specific with the area you are talking about!
Sijataja kwa makusudi,sio bahati mbaya and you know why,hamfichi taarifa za whistleblowers.Ila kwa reactions zilizopo kwenye bandiko, the problem is wide spread.But why are you denying such an obvious problem,fanyeni kazi jamani msikatae ukweli wa wazi.You will be wise to accept the problem na mkaomba radhi tukasonga mbele.

Anyway,wewe inawezekana ni mtu wa TANESCO,you are trying to hide the truth.Mindyou sina sababu yeyote ya kuwapaka matope,the problem is real.
 
Sijataja kwa makusudi,sio bahati mbaya and you know why.Ila kwa reactions nilizo ziona, the problem is wide spread.But why are you denying such an obvious problem,fanyeni kazi jamani msikatae ukweli wa wazi.You will be wise to accept the problem na mkaomba radhi tukasonga mbele.

Anyway,wewe inawezekana ni mtu wa TANESCO,you are trying to hide the truth.Mindyou sina sababu yeyote ya kuwapaka matope,the problem is real.
Kwanini usiseme eneo ili tujue kama kuna sabortage ama la? Au kuna matatizo ambalo linajulika na Tanesco na serikali kwa ujumla. Kwa sababu hali ya uzalishajj umeme ipo vizuri tu wala si tatizo. Please be open unaficha ili iwe nini??
 
Yaani leo tu umeme umekatika mara tatu,na kati hizo mara tatu umekatika for quite a while.Sometimes within just a short period unakatika hata five times.Inakera sana kwa kweli.
Wapi huko mkuu? Pia umewasiliana na ofisi ya Tanesco ya eneo lako? Pia hapa JF wana ID kwa ajili ya kutoa matatizo. Mbona hujafanya hivyo?
 
Kwanini usiseme eneo ili tujue kama kuna sabortage ama la? Au kuna matatizo ambalo linajulika na Tanesco na serikali kwa ujumla. Kwa sababu hali ya uzalishajj umeme ipo vizuri tu wala si tatizo. Please be open unaficha ili iwe nini??
Do not push me to the wall.TANESCO mnapeana siri za wateja na mnalindana sana,so no.Sio lazima nikuambie mimi,kama wewe ni kiongozi kweli wa TANESCO you should be able to find out.After all you should have known by now.Halafuu,soma comments za wachangiaji kwenye hii mada,tatizo lipo,acha kutafuta mchawi.
 
Do not push me to the wall.TANESCO mnapeana siri za wateja na mnalindana sana,so no.Sio lazima nikuambie mimi,kama wewe ni kiongozi kweli wa TANESCO you should be able to find out.After all you should have known by now.
How could they know the area you are complaining about it? Why don't you lodge your complain unonymisely through Tanesco JF ID available here? Naweza kusema huu ni udaku tu kama udaku mwingine!
 
Yaani leo tu umeme umekatika mara tatu,na kati hizo mara tatu umekatika for quite a while.Sometimes within just a short period unakatika hata five times.Inakera sana kwa kweli.
Baada ya kuanza kusoma bandiko lako ndio wamewasha sasa baada ya kutokuwa na umeme kwa masaa yapatayo sita na zaidi. Ukweli ni kuwa Tanesco ni tatizo, umeme unakatwa kila siku mara nyingi tu tena kwa mtindo unaoashiria hujuma. Huyo pimbi anaedai kuwa huko kwao wameishasahau kukatika katika kwa umeme, atakuwa mmoja wa ukoo wa waendesha hujuma.
 
Wapi huko mkuu? Pia umewasiliana na ofisi ya Tanesco ya eneo lako? Pia hapa JF wana ID kwa ajili ya kutoa matatizo. Mbona hujafanya hivyo?
Soma bandiko langu mkuu.Kwanza hawataki hata tulalamike,ingawa hatuachi kulalamika.Na ukitoa a genuine concern unaonekana mbaya na mnoko.Unajua,mpaka tunakuja huku tumekosa msaada huko chini.Halafu jamaa wanalindana usiombe.Yaani kwa jinsi umeme unavyokatika,hii ni hujuma,no doubt about it.
 
Baada ya kuanza kusoma bandiko lako ndio wamewasha sasa baada ya kutokuwa na umeme kwa masaa yapatayo sita na zaidi. Ukweli ni kuwa Tanesco ni tatizo, umeme unakatwa kila siku mara nyingi tu tena kwa mtindo unaoashiria hujuma. Huyo pimbi anaedai kuwa huko kwao wameishasahau kukatika katika kwa umeme, atakuwa mmoja wa ukoo wa waendesha hujuma.
Kama huwezi sema eneo huo ni udaku tu kama udaku mwingine! Wewe unashida unashindwaje kuripoti shida yako??!!
 
How could they know the area you are complaining about it? Why don't you lodge your complain unonymisely through Tanesco JF ID available here? Naweza kusema huu ni udaku tu kama udaku mwingine!
Kwani hii post hawaioni?Kama they have the will,the desire and commitment to solve the problem hata hii post wataiona.
 
Kama huwezi sema eneo huo ni udaku tu kama udaku mwingine! Wewe unashida unashindwaje kuripoti shida yako??!!
Soma comments zingine uone tatizo lililopo.Ni upuuzi kusema my assertion ni udaku wakati so many people have the same concern.It shows complete lack of seriousness and commitment.
 
Soma comments zingine uone tatizo lililopo.Ni upuuzi kusema my assertion ni udaku wakati so many people have the same concern.It shows complete lack of seriousness and commitment.
Wote hao wanatoa udaku tu kama hawawezi mention the area affected!
 
Kama huwezi sema eneo huo ni udaku tu kama udaku mwingine! Wewe unashida unashindwaje kuripoti shida yako??!!
Usiwatetee Tanesco kama upande wako hupati shida ya kukatika kwa umeme, inaelekea wewe umekariri tu maelekezo ya kutoa taarifa, tatizo lipo na mtoa hoja anafanya vizuri kutotoa eneo aliko, ukweli alichokiandika ni sahihi kabisa. Hao Tanesco wana kila aina ya upuuzi wa sehemu za kutoa taarifa ambazo hazina msaada wowote. Mimi ni mhanga wa tatizo hilo na nimeacha kutoa tena taarifa, maana kila siku umeme unakatwa wilaya hii ya Ilala bila kueleza kwa nini licha kulipia umeme, huu ni wizi wa mchana.
 
Usiwatetee Tanesco kama upande wako hupati shida ya kukatika kwa umeme, inaelekea wewe umekariri tu maelekezo ya kutoa taarifa, tatizo lipo na mtoa hoja anafanya vizuri kutotoa eneo aliko, ukweli alichokiandika ni sahihi kabisa. Hao Tanesco wana kila aina ya upuuzi wa sehemu za kutoa taarifa ambazo hazina msaada wowote. Mimi ni mhanga wa tatizo hilo na nimeacha kutoa tena taarifa, maana kila siku umeme unakatwa wilaya hii ya Ilala bila kueleza kwa nini licha kulipia umeme, huu ni wizi wa mchana.
Kama huwezi sema eneo lenye matatizo na bado unajiita wewe ni Great Thinker then twafaaa!!
 
Back
Top Bottom