Nsaji Mpoki
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 396
- 65
Hatuna hakika Kama viongozi wetu wanafahamu Kuwa shirika hili la umma limekuwa kero kwa wananchi hasa wateja wake.
Hivi unawezaje kuchukua fedha ya mteja Halafu ukamwambia utampatia huduma baada ya mwezi Mmoja kupita. Wananchi wanalipia kwa lengo la kufungiwa umeme, wengine zaidi ya shillingi laki tano Lakini baada ya kulipa majibu NI kusubiri huduma mwezi mzima. Hivi tunakwenda wapi.
Tunakamata vishoka wa nini wakati chanzo ni shirika lenyewe? Tafadhali mhe. Simbachawene shughulikia hili. Customer care ni extremely low.
Hivi unawezaje kuchukua fedha ya mteja Halafu ukamwambia utampatia huduma baada ya mwezi Mmoja kupita. Wananchi wanalipia kwa lengo la kufungiwa umeme, wengine zaidi ya shillingi laki tano Lakini baada ya kulipa majibu NI kusubiri huduma mwezi mzima. Hivi tunakwenda wapi.
Tunakamata vishoka wa nini wakati chanzo ni shirika lenyewe? Tafadhali mhe. Simbachawene shughulikia hili. Customer care ni extremely low.