TANESCO ni kama Tembo Kila anaepata nafasi anakata mnofu mpaka shirika linaelekea kufa halafu Leo mnaleta siasa za kijinga kutafuta kiki

Babe la mji

JF-Expert Member
Dec 14, 2019
983
2,053
Ndugu zangu kwa Tanzania hakuna shirika la uma ambalo limepitia changamoto kama shirika la umeme TANESCO.Shirika hili tangu kipindi Cha Mzee wa ruksa wanasiasa walianza kulitumia kama kitega uchumi Chao .Wakawa wanasaini mikataba ya kihuni lengo likiwa kupata asilimia kumi.
Ikaja awami ya
Mr Clean a.k.a Ben mambo yakendelea hivohivo Tena ilafkia muda shirika likataka kubinafisishwa .

Huyu alikuja na sera ya kutolipa shirika resources za aina yoyote hasa kuajili wafanyakaza wapya lengo likiwa ni kilizoofisha shirika ili hatimae waliuze.Sijajua nini kilitokea hadi likasalimika kuuzwa
Kutokana na shirika kutokua na lasilimali za kutosha kujiendesha mnakumbuka mwaka 2006 mgao wa umeme ulivokua mkubwa hadi wanasiasa Tena wakaingia mikataba ya dhalula kuinusulu Nchi isiwe gizani,mambo ya Richmond na hatimae Lowasa kuachia ngazi.

Awamu ya nne nayo ikaja kwa uchu mkubwa Sana kulimaza shirika kwa mikataba ya kihuni lengo likiwa lilelile la kilimaliza .Waanasiasa kwa kushilikiana na wafanyabiashara wakubwa wamekuwa mabilionea wakubwa kwa kulitumia hili shirika na kilifanya lishindwe kijiendesha .Kwa taalifa yenu tu Tanesco inaijiendesha kwa hasara hivo inapewa luzuku kutoka serikalini.Yote ni kutokana na ufisadi wa kutisha zidi ya hili shirika.

Awamu ya Tano chini ya JPM kwa kuona Hilo ndo wakaja na suluhu ya haya matatizo kwa kukataa Tena kuingia mikataba mipya .Na njia zenyewe ni kujenga Nyerere dam ili hatimae tuwe na umeme wetu wa uhakika.
Sasa Leo anatokea mwanasiasa anadanganya watu eti sitaki umeme ukatike Tena wakati Tanesco wanajiendesha kwa luzuku ya serikali Sasa mtu unajiuliza hivi Hawa jamaa wanatumia akili gani?
Je wamelipa shirika hela ya kufanyia mabolesho ya mitambo na njia za usambazaji umeme wakashindwa?
Nawaomba wanasiasa muache siasa kwenye mambo ya muhimu ya Nchi yetu maana tatizo la Tanesco linajulikana.Shirika halina PESA kwa ajili ya kujiendesha .Tena kama mna Hekima mnatakiwa mtoke mbele ya uma wa Kitanzania muombe msamaha kwa hujuma mlizowafanyia Watanzania.

Nimeandika machache Sana kuhusu hili shirika mnataongezea mengine lakini mkumbike viongozi wazalendo katika Nchi hii ni wachache Sana wengi wapo kwa ajili ya kupoga
 
Waziri wa twita Jana kaja na Kiki ya takwimu za umeme unaopotea.na kupigiwa makofi na sifa kede kede
na kuanzisha vipindi kwenye redio na television.
Sijaona mkakati aliuweka kuhusiana na Hilo.
Basi nikaishia kusema .
Hiiii Bhagoshaaaa!! Nahene tutaona
 
Back
Top Bottom