Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Wakati huu bado tunatatanika na kuulizana imekuwaje rais kuzuia matumizi ya pesa ktk sherehe za kuzima mwenge kipindi cha mwisho. Last minute. Lengo ni kuokoa kiasi fulani cha pesa pamoja na muda wa viongozi walioelekea kusafiri nchi nzima.
Nionavyo, sasa rais anahitaji kutoa adhabu kali kwa tabia hii ya matumizi mabaya ya pesa. Yaonekana wakuu wa taasisi na viongozi wa sehemu nyingi wanahangaika kukwepa maamuzi ya rais na wale wasioonekana, wanapeta.
Jana Tanesco nimewasikia wakitangaza dili yao ya nchi nzima. Wanaiita utafiti wa upatikanaji wa umeme vijijini. walitoa ombi kwa wananchi kuwapokea watafiti hao, nadhani ni baada ya yale yaliyowapata watafiti wa dodoma. Swali la kujiuliza ni taarifa gani haijulikani Tanesco kupitia matawi yake nchini, hadi wilayani? Tanesco ni jipu! Wanahangaika kuchota pesa za shirika toka kila kona na Mbinu.
Nionavyo, sasa rais anahitaji kutoa adhabu kali kwa tabia hii ya matumizi mabaya ya pesa. Yaonekana wakuu wa taasisi na viongozi wa sehemu nyingi wanahangaika kukwepa maamuzi ya rais na wale wasioonekana, wanapeta.
Jana Tanesco nimewasikia wakitangaza dili yao ya nchi nzima. Wanaiita utafiti wa upatikanaji wa umeme vijijini. walitoa ombi kwa wananchi kuwapokea watafiti hao, nadhani ni baada ya yale yaliyowapata watafiti wa dodoma. Swali la kujiuliza ni taarifa gani haijulikani Tanesco kupitia matawi yake nchini, hadi wilayani? Tanesco ni jipu! Wanahangaika kuchota pesa za shirika toka kila kona na Mbinu.