Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Taarifa kwa umma kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikielezea kuhusu uhamishwaji wateja kutoka kundi la matumizi madogo ya umeme (D1) kwenda kwenye kundi la matumizi ya kati (T1).
Aidha, @tanescoyetu imeomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Aidha, @tanescoyetu imeomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.