sacred wall
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 804
- 1,318
Kinachoendelea ni dalili za rushwa watu kuweka watu wao. Mtaalamu wa NIT aliwafanyisha practical ya uendeshaji, akamaliza vijana wakachaguliwa. Wakawa wanasubiri ORAL interview.
Leo ameondoka huyu mtaalamu wa NIT, wakawa wamekosa nafasi ya kuweka vijana wao, huku nyuma wameanza upya zoezi hilo kwa njia ya udanganyifu eti wanataka kuwapima tena.
Ni udanganyifu wa kuweka watu wao!
Nani aisimamie haki itendeke? Usalama wa taifa liangalie hili. Takukuru ni wenzano, hawaa msaada!
Leo ameondoka huyu mtaalamu wa NIT, wakawa wamekosa nafasi ya kuweka vijana wao, huku nyuma wameanza upya zoezi hilo kwa njia ya udanganyifu eti wanataka kuwapima tena.
Ni udanganyifu wa kuweka watu wao!
Nani aisimamie haki itendeke? Usalama wa taifa liangalie hili. Takukuru ni wenzano, hawaa msaada!