Tanesco na bei za Umeme

Kipanga

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
676
34
...Kuna habari kuwa Tanesco inajipanga ili iweze kupeleka mapendekezo ya kupandisha bei ya umeme kwenye Mamlaka ya udhibiti wa Nishati (EWURA).
Ikumbukwe kuwa mwishoni mwa mwaka jana Tanesco ilipendekeza kwa EWURA ongezeko la bei ya umeme kwa 40% lakini waligomewa na hatimaye kuruhusiwa kuongeza bei kwa 21%......

Endapo EWURA italidhia maombi ya Tanesco kuongeza bei ya nishati hiyo muhimu hilo litakuwa pigo lingine kwa watanzania katika ongezeko la gharama za maisha kufuatia kuongezeka kwa nauli za mabasi kuanzia tarehe 1.Agosti.2008 kwa karibu 20%...
 
A very interesting observation would be that Tanesco is moving away from the hydro systems to gas and gas, is found under our country's earth..why the raise?Yes,the investors have set up the plants and infrastructures but there should some some rationale as how the Goverment or EWURA react to the increaments...for cheaper supplies!

What next?will we humans have to pay to breath?
 
Back
Top Bottom