MbeyaKila ikifika asubui Wanakata Umeme na kuurudisha jioni kwa siku ya 4 mfululizo TANESCO hata kama ni mgao ni mgao gani wa hovyo hivi? Hili shirika ni la hovyo sana
Mbeya ni vivyohivyo Mkuu! Kumbe ni majanga aisee!! Hivi ninavyoandika hii message hatuna umeme toka asubuhi!Kila ikifika asubui Wanakata Umeme na kuurudisha jioni kwa siku ya 4 mfululizo TANESCO hata kama ni mgao ni mgao gani wa hovyo hivi? Hili shirika ni la hovyo sana
Hai Kilimanjaro tumeshazoea.Kila ikifika asubui Wanakata Umeme na kuurudisha jioni kwa siku ya 4 mfululizo TANESCO hata kama ni mgao ni mgao gani wa hovyo hivi? Hili shirika ni la hovyo sana
Huu utafiti umefanyia wapi? Hao ng'ombe walikuwepo toka zamani ushawahi kuona huu upuuzi ukitokeaWasukuma punguzen idadi ya ng'ombe.......ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku .......mtu una ng'ombe 500
Kwa mwezi wanakunywa lita za maji 350,000
Kwa mwaka wanakunywa lita 127750000
Hamjui kuwa mnaleta climate changes na kuleta uhaba wa maji na kupelekea ......umeme kusumbua
Mgawo wa umeme mnaleta nyie
Ndugu mpendwa Mteja wetuKila ikifika asubui Wanakata Umeme na kuurudisha jioni kwa siku ya 4 mfululizo TANESCO hata kama ni mgao ni mgao gani wa hovyo hivi? Hili shirika ni la hovyo sana
Acheni uhuni nyie, mnaua biashara za watu halafu mwisho wa mwezi mnalipwa mishahara inayotokana na kodi zetu kwenye hizo hizo biashara mnazozikatia umeme kila siku!!!Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
SIMU : 0748550000