Maeneo mengi ya Jiji la Mwanza Mgao wa Umeme ni mkali haswa! Tumebaki tunajiuliza, hawa wapo tayari kumsaidia Mh. Rais kukamilisha ndoto yake ya Tanzania ya Viwanda? Viwanda hivi vinahitaji Nishati muda Wote, lakini huwezi kuamini imeshakuwa ni kila Leo Umeme kukatika kwa masaa mengi tu, huo uzalishaji mnataka utumie biogas?
Maeneo ya Mkolani,( ambapo Kuna substation), Buhongwa, na Nyegezi kwa uchache, hayana Umeme hadi muda huu, Mh. Kalemani tumbua huyu Manager km ulivyofanya kwa Yule wa Kidatu!
Maeneo ya Mkolani,( ambapo Kuna substation), Buhongwa, na Nyegezi kwa uchache, hayana Umeme hadi muda huu, Mh. Kalemani tumbua huyu Manager km ulivyofanya kwa Yule wa Kidatu!