MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,400
- 1,703
TaANESCO Mwanza mmekuwa kero kubwa! Hususani maeneo ya Malimbe. Kila siku mnakata umeme. Hivi hamjui kuwa mnatuharibia biashara zetu? Kweli tutafika Tanzania ya viwanda kwa mwendo huu? Au mmetumwa na mabeberu kumhujumu Baba Jesca?
Medard Kalemani chunguza meneja Tanesco mkoa wa Mwanza. Hastahili kuwa meneja!
Mtafutie wilaya, hana uwezo wa kumenege mkoa! Anaharibu biashara zetu! Mpaka muda huu naandika hiii mada, huku Malimbe tuko gizani!! Umeme umekatika toka saa Saba usiku!
Waziri komesha hii kadhia! Tanesco wanatuharibia biashara zetu!
Medard Kalemani chunguza meneja Tanesco mkoa wa Mwanza. Hastahili kuwa meneja!
Mtafutie wilaya, hana uwezo wa kumenege mkoa! Anaharibu biashara zetu! Mpaka muda huu naandika hiii mada, huku Malimbe tuko gizani!! Umeme umekatika toka saa Saba usiku!
Waziri komesha hii kadhia! Tanesco wanatuharibia biashara zetu!