Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Ni jambo la kusikitisha sana kwa muda wa masaa 48 sehemu kubwa ya kata ya Rwamlimi hakuna umeme na mpaka sasa inaonekana hakuna ufumbuzi ama maelezo kutoka Tanesco.
Mheshimiwa MD wa Tanesco fuatilia tatizo hili kwani watu wamepata hasara kubwa haswa wafanyabiashara wa samaria.
Mheshimiwa MD wa Tanesco fuatilia tatizo hili kwani watu wamepata hasara kubwa haswa wafanyabiashara wa samaria.