TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
Tafadhali tusaidie taarifa kwa siri tatizo ni nini? Namba ya simu na Wilaya husika kwa hatua zaidiRushwa kwa tanesco bado tatizo sana, mama wanamkwamisha sana imajini garama za umeme zimepunguzwa kwa makusudi kabisa hili kila mwananchi apate mwanga sasa wanatokea wauni wachache wanaleta tamaa sijui kama tutafika kwa staili hii