TANESCO, mtuambie ukweli. Haiwezekani umeme kupanda kila siku! Kuna mkataba mbovu sehemu, si bure

Balaa hili alianza JK,akiwa waziri wa nishati na madini,tangu hapo mzimu wa Tanesco unatutafuna watanzania.Tanesco imekuwa seemu ya ulaji kuanzia ujenzi wa bomba Gesi hadi kuzalisha umeme.Kwanza mzimu wa IPTL uondoke tutaona Tanesco watapata ahueni.Lakini kwa vile imekuwa ni shamba la bibi mtaji wa watu basi.Tusuke au tunyowe.

Tuitishe kiakao cha kitaifa
 
Basi gesi yetu tuliyoahidiwa itazalisha umeme haina faida!
Wanasema bei haitapanda kwa watumiaji wa kawaida majumbani ila ukifuata mfululizo unampandishia mwenyekiwanda unategemea bidhaa bei itakua ile ile!
Wakuumia ni yule yule masikini!!!
Nani kakwambia gesi ni kwaajili ya watanzania?
 
Duu hizo hesabu ataelewa engineer wa umeme..Hapo nimetoka kapa mkuu,hembu dadavua kwa lugha nyepesi na sisi HKL tuelewe vizuri.Wengine tukiona KW,Inch vichwa vinawaka moto.
Hata wa umeme mwenyewe hawezi kuelewa am sure, hoja iko very clear wala hayo magazijuto hayakuhitajika hapa......
 
Jamae!!! Waziri Muhongo alisema gesi ikifika Dar bei ya umeme itashuka!!!
 
Hata si walewi ni pale amabo Siasa inapochua nafasi kwenye mambo ya msingi
yaan kwakweli siasa niushetan nikikumbuka muhongo alivyokua anatuaminisha kuwa umeme utashuka bei maradufu tukianza kutumia gas hahaha lakin leo hii ndo kwanza inapanda........
 
Nimejiuliza sana lakini sipati jibu! Tanzania tunavyo vyanzo rahisi kabisa vya umeme lakini kila siku Tanesco inadai kuongeza bei ya umeme! Meter tunanunua wenyewe, nguzo tunanunua wenyewe wanapata ruzuku serikalini. Mtueleze gharama za exploration ni kiasi gani na gharama za usafirishaji ni kiasi gani. Hii nchi yetu ilivyo masikini tutabeba madudu ya mikataba mapak lini?
Gharama hizi hapa za kuzalisha umeme kwa Gasi .
Bei ya Gas ya kimataifa leo hii ni MMbt=3.6$ bila gharama za uzalishaji na usafirishaji.
Kwa hela za madafu au hela za Tanzania ni MMbtu=Tsh 8,000/=

Hiii MMbtu=1,000,000btu
Kwahiyo
1,000,000btu=8,000/= kumbuka hapa exploration charges and transportation Charge is excluded.
Ukigawa unapata
1btu=0.008tsh
Ujazo wa gasi wa kuzalisha umeme kwa unit moja inategemea na mtambo ila mtamo imara kabisa unazalisha wastani
10,408 Btu= inatoa (kilowatt )1kWh
Ukichukua rate yake ni 1btu=0.008tsh
Ambayo ni sawa na
Ths 83.264 = kilowatt moja ya umeme.(unit moja)

Unit moja ya umeme sisi kwa bei ya mtaani ni Tanzania shilingi 330. Hivi kibongobongo biashara amabyo unapata faida zaidi ya mara tatu ni ipi? Na bado serikali inamweka mahera yetu kibao kila siku huko tanesco. Hivi mnashindwa kujiendesha kweli? Hapana Mtakuwa mmerogwa na Mganga aliyewaroga kafa.


HAPA CHINI NI REFERENCE

1kg of NG=43cubic

Mcf — equals the volume of 1,000 cubic feet (cf) of natural gas. MMBtu — equals 1,000,000 British thermal units (Btu).



Pound 1=0.453592kg


One Btu is the heat required to raise the temperature of one pound of water by one degree Fahrenheit.

The kilograms amount 68.15 kg - kilo converts into 1 cu ft - ft3, one cubic foot. It is the EQUAL concrete volume value of 1 cubic foot but in the kilograms mass unit alternative.
You have a point, there is no way that this is happening at a time we have cheaper sources of energy. Something like monopolistic tendencies in business is playing its role.
 
Nimejiuliza sana lakini sipati jibu! Tanzania tunavyo vyanzo rahisi kabisa vya umeme lakini kila siku Tanesco inadai kuongeza bei ya umeme! Meter tunanunua wenyewe, nguzo tunanunua wenyewe wanapata ruzuku serikalini. Mtueleze gharama za exploration ni kiasi gani na gharama za usafirishaji ni kiasi gani. Hii nchi yetu ilivyo masikini tutabeba madudu ya mikataba mapak lini?
Gharama hizi hapa za kuzalisha umeme kwa Gasi .
Bei ya Gas ya kimataifa leo hii ni MMbt=3.6$ bila gharama za uzalishaji na usafirishaji.
Kwa hela za madafu au hela za Tanzania ni MMbtu=Tsh 8,000/=

Hiii MMbtu=1,000,000btu
Kwahiyo
1,000,000btu=8,000/= kumbuka hapa exploration charges and transportation Charge is excluded.
Ukigawa unapata
1btu=0.008tsh
Ujazo wa gasi wa kuzalisha umeme kwa unit moja inategemea na mtambo ila mtamo imara kabisa unazalisha wastani
10,408 Btu= inatoa (kilowatt )1kWh
Ukichukua rate yake ni 1btu=0.008tsh
Ambayo ni sawa na
Ths 83.264 = kilowatt moja ya umeme.(unit moja)

Unit moja ya umeme sisi kwa bei ya mtaani ni Tanzania shilingi 330. Hivi kibongobongo biashara amabyo unapata faida zaidi ya mara tatu ni ipi? Na bado serikali inamweka mahera yetu kibao kila siku huko tanesco. Hivi mnashindwa kujiendesha kweli? Hapana Mtakuwa mmerogwa na Mganga aliyewaroga kafa.


HAPA CHINI NI REFERENCE

1kg of NG=43cubic

Mcf — equals the volume of 1,000 cubic feet (cf) of natural gas. MMBtu — equals 1,000,000 British thermal units (Btu).



Pound 1=0.453592kg


One Btu is the heat required to raise the temperature of one pound of water by one degree Fahrenheit.

The kilograms amount 68.15 kg - kilo converts into 1 cu ft - ft3, one cubic foot. It is the EQUAL concrete volume value of 1 cubic foot but in the kilograms mass unit alternative.
Pseudo-scientist anajidanganya mwenyewe akidhani anaonyesha unahiri kumbe anaanika ujinga. TANESCO haiizi gesi inauza umeme. TANESCO haizalishi gesi, inanunua. Umeme wa TANESCO unatoka Kidatu na Kihansi na Hale na Zuzu na Mtera, si Mtwara. TANESCO iluanza 1895 haikuanza mwaka jana. TANESCO haipandishi bei ya umeme kila siku hili wazo umeota kama yule aliyeota kifo cha Rais. Mwisho linganisha kupanda bei kwa umeme na kupanda bei kwa kuni na kwa mafuta ya taa na mafuta ya generator. Hesabu uchwara wapelekee wanasiasa wako.
 
Balaa hili alianza JK,akiwa waziri wa nishati na madini,tangu hapo mzimu wa Tanesco unatutafuna watanzania.Tanesco imekuwa seemu ya ulaji kuanzia ujenzi wa bomba Gesi hadi kuzalisha umeme.Kwanza mzimu wa IPTL uondoke tutaona Tanesco watapata ahueni.Lakini kwa vile imekuwa ni shamba la bibi mtaji wa watu basi.Tusuke au tunyowe.
Hawana hata kiasi mda wote huo kutafuna tuuu? Wee had wazir wa nishati urais hadi ukastaafu hijatosha tuu ukaenda hadi mahakani kuzuia usilopwe. Licha hata ya hiyo Tanesco bado umejilimbkizia mali za umma Na,familia yako. Bandarini alimiliki yeye. Yani jamaa ni shetani
 
Wajameni ni lazima upande. Mmesahau lile deni la std chtd Hong Kong? Piga ua ni lazima tulipe wajameni. Chondechonde si mnajua yule singasinga alivyotufanya? Katuingiza choo cha like. Wajameni wajameni!!!
 
shida ya tanesco ni iptl pesa wamechukua namtambo kapewa singa naye anaendelea kuvuna ktk shamba la bibi,tuliambiwa baada ya miaka 20 iptl wangepewa tanesco lakini wajanja wakaona fursa yakuchota mifedha.tuliipenda wenyewe.
 
Kwani huyo mjanja hajulikani? Tatizo ni kaburi ambalo likifukuliwa linanuka nji nzima. Nani anaweza kuvumilia hiyo harufu?
 
>>>>> Tanesco kila mwaka wanadai wanaendesha kwa hasara,,, Hizo hasara zinaletwa na ofisi za umma ambazo hawalipi bili zao

Kama hawawezi kulipia watumie koroboi
 
>>>>>Mpakasasa Watanzania asilimia ngapi wanapata umeme???
 
Pseudo-scientist anajidanganya mwenyewe akidhani anaonyesha unahiri kumbe anaanika ujinga. TANESCO haiizi gesi inauza umeme. TANESCO haizalishi gesi, inanunua. Umeme wa TANESCO unatoka Kidatu na Kihansi na Hale na Zuzu na Mtera, si Mtwara. TANESCO iluanza 1895 haikuanza mwaka jana. TANESCO haipandishi bei ya umeme kila siku hili wazo umeota kama yule aliyeota kifo cha Rais. Mwisho linganisha kupanda bei kwa umeme na kupanda bei kwa kuni na kwa mafuta ya taa na mafuta ya generator. Hesabu uchwara wapelekee wanasiasa wako.

Utakuwa Darasa la pili. Ngoja nikueleweshe hiyo hesabu imechua bei ya gas duniani kwa soko la kimataifa kwa siku ya jana amabayo IPTL,Serikali na wazalishaji wengine wananunua gas mtwara sasa kama wanapata bure sawa kama hawapati bure mimi sijui. sasa wakinunua gas ndio wanazalisha umeme. chanzo kikubwa cha Umeme Tanzania kwasasa ni Gas. Sasa nimekokotoa kwa wastani wajuu kabisa umeme ni sana na Ths 83. Nasisi tununua huohuo umeme kwa tshs 333!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom