Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
- Thread starter
- #21
Balaa hili alianza JK,akiwa waziri wa nishati na madini,tangu hapo mzimu wa Tanesco unatutafuna watanzania.Tanesco imekuwa seemu ya ulaji kuanzia ujenzi wa bomba Gesi hadi kuzalisha umeme.Kwanza mzimu wa IPTL uondoke tutaona Tanesco watapata ahueni.Lakini kwa vile imekuwa ni shamba la bibi mtaji wa watu basi.Tusuke au tunyowe.
Tuitishe kiakao cha kitaifa