rr3
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,044
- 3,798
TANESCO tumewachoka sema hatuna alternative. Kenya nasikia yapo mashirika mawili ya umeme, sijui kama ni kweli.
Sisi wakazi wa Mtaa wa Lombeta, kijiji cha Msaranga Kata ya Ng'ambo katika Manispaa ya Moshi Mjini Siku ya Jana tumeingia hasara kubwa sana.
Umeme uliongezeka na kuwa mwingi bila taarifa mida ya saa moja jioni tarehe 1/09/2016. Binafsi nimeondokewa na:
1. Fridge
2. TV
3. SUB-WOOFER
4. TAA ZOTE NYUMBA NZIMA
5. JIKO LA UMEME.
Mtaa mzima watu wanalia sana na maumivu ni makubwa. Je tumlilie nani atakayetusikiliza. Vitu vyenyewe tunaokoteza na awamu hii imeshajipambanua inabana matumizi. Tutatoa wapi vitu kama hivi tena?
TANESCO MOSHI, TUNA UCHUNGU SANA.
Sisi wakazi wa Mtaa wa Lombeta, kijiji cha Msaranga Kata ya Ng'ambo katika Manispaa ya Moshi Mjini Siku ya Jana tumeingia hasara kubwa sana.
Umeme uliongezeka na kuwa mwingi bila taarifa mida ya saa moja jioni tarehe 1/09/2016. Binafsi nimeondokewa na:
1. Fridge
2. TV
3. SUB-WOOFER
4. TAA ZOTE NYUMBA NZIMA
5. JIKO LA UMEME.
Mtaa mzima watu wanalia sana na maumivu ni makubwa. Je tumlilie nani atakayetusikiliza. Vitu vyenyewe tunaokoteza na awamu hii imeshajipambanua inabana matumizi. Tutatoa wapi vitu kama hivi tena?
TANESCO MOSHI, TUNA UCHUNGU SANA.