hunchback
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 658
- 289
Nimetoka kazini kwa haraka na hamasa kubwa nafika nyumbani niangalie mjadala wa Katiba mpya unaoendelea Mlimani City nakuta umeme umekatwa. Kwa nini mnajidhalilisha hivyo shirika la umeme kujiingiza kwenye siasa ni aibu kubwa kwa taifa. Nina wasiwasi huu umeme utakatwa kwenye mjadala wa Escrow ili kutunyima haki ya kupata habari. Looh aibu yenu Tanesco!