Kama tujuavyo, bila nishati ya umeme shughuli nyingi zinakwama. Umeme kukatika siku nzima ni hasara kubwa sana kwa Taifa.
Leo Morogoro hakuna umeme tangu asubuhi hadi sasa. Namna hii uchumi wa mkoa na wa watu binafsi unaathirika sana.
Inawezekana umeme haukatwi makusudi ila kama kuna hitilafu zifanyiwe kazi haraka kama dharura ili umeme urejee.
Inakera sana kwa kweli. Najaribu kujiuliza wahusika wa Tanesco mida hii wanashughulikia hii hali au nao wamekaa tu wanakunywa serengeti lite za moto?
Leo Morogoro hakuna umeme tangu asubuhi hadi sasa. Namna hii uchumi wa mkoa na wa watu binafsi unaathirika sana.
Inawezekana umeme haukatwi makusudi ila kama kuna hitilafu zifanyiwe kazi haraka kama dharura ili umeme urejee.
Inakera sana kwa kweli. Najaribu kujiuliza wahusika wa Tanesco mida hii wanashughulikia hii hali au nao wamekaa tu wanakunywa serengeti lite za moto?