TANESCO Morogoro kila siku umeme kukatika, kwanini?

KITEKSORO

JF-Expert Member
Sep 25, 2012
346
425
Kama tujuavyo, bila nishati ya umeme shughuli nyingi zinakwama. Umeme kukatika siku nzima ni hasara kubwa sana kwa Taifa.

Leo Morogoro hakuna umeme tangu asubuhi hadi sasa. Namna hii uchumi wa mkoa na wa watu binafsi unaathirika sana.

Inawezekana umeme haukatwi makusudi ila kama kuna hitilafu zifanyiwe kazi haraka kama dharura ili umeme urejee.

Inakera sana kwa kweli. Najaribu kujiuliza wahusika wa Tanesco mida hii wanashughulikia hii hali au nao wamekaa tu wanakunywa serengeti lite za moto?
 
Mheshimiwa amesema siku hizi wanafanya "scheduled maintainances" ambazo hazikufanyika enzi za mwendazake kwa watu kuhofia kutumbuliwa. Kwahiyo kaa kwa kutulia. 😀
 
Kama tujuavyo, bila nishati ya umeme shughuli nyingi zinakwama. Umeme kukatika siku nzima ni hasara kubwa sana kwa Taifa.

Leo Morogoro hakuna umeme tangu asubuhi hadi sasa. Namna hii uchumi wa mkoa na wa watu binafsi unaathirika sana.

Inawezekana umeme haukatwi makusudi ila kama kuna hitilafu zifanyiwe kazi haraka kama dharura ili umeme urejee.

Inakera sana kwa kweli. Najaribu kujiuliza wahusika wa Tanesco mida hii wanashughulikia hii hali au nao wamekaa tu wanakunywa serengeti lite za moto?
Tumia lugha ya ukali acha kuwachekea hawa mbwa!!!
Morogoro mkoa wenye huduma duni kila Idara Morogoro..
Sijui watu tumerogwa, huduma Maji duni sana, Umeme nao hivyo hivyo...ah
 
Back
Top Bottom