Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
Kwangu kuna vyumba v5,,,,,na sroom ,,kuna fridge 2,,zenye compresor moja moja kila 1,taa za utumbo,feni 4 ceilling fan,table fane 1 desktop 1 inayowashwa masaa 5 kila sk, tv 2 na deck zake,. Umeme ninaotumia kwa week ni wa 30000,nikiwasha fridge 1,nisipowasha fridge natumia 20000 kwa week..inakuwje wanajamii hii si kifo kweli au ni sawa? Matumizi ya kawaida niyapi?