Mm pia nilipatadhida km hiiKuna hizi mita za TANESCO wanazofungia wateja sasa hivi, kila siku usiku lazima zikate umeme lakini kwa wale wenye mita za zamani umeme upo.
Tatizo nini? Au ndio mita za michongo?
Wapangaji wangu wana lala giza kila siku hadi najisikia vibaya maana wamelalamika sana,Kweli hizi meter mpya zina sense low voltage na kukata umeme automatically ili kulinda vifaa vya umeme visiharibike. Tafadhali Tanesco rekebisheni tatizo la low voltage hasa vijijini ni shida.
China kwa sasa sio nchi ya kuagiza bidhaa ni wahuni sana wale vimacho wana viwanda vingi sana vya kuzalisha bidhaa zilizo chini kabisa ya kiwangoKenya kuna kampuni ya Kichina ilipewa tenda ya kuleta mita za umeme ikaleta maelfu ya mita mbovu. Itakuwa ndio hizo hizo tumeuziwa na sisi
Wewe mrusi umetoroka vita kwenu urusi.Nikaambiwa umeme ukiewa mdo chenyewekinspita nao
😂😂😂Juzi tumehama bar umeme umekata na kila akinunua hauingii 😅😅😅
Hahahhaaaaa watu n kama wanakimbia vita sudan au UkraineNikaambiwa umeme ukiewa mdo chenyewekinspita nao