Binafsi nashindwa kuelewa! Inakuwaje ukiweka umeme wa elfu 50 speed yake ya kwisha inakuwa kubwa kiasi inatisha! Inakulazimu uweke wa elfu kumi kumi kuogopa umeme kwisha kwa speed! Niliuliza nikaambiwa ukiweka units nyingi Tanesco wanakubadilishia tarif ya matumizi wanahisi unakiwanda! Hii haijakaa kisayansi kabisa!Hii Trans fee ni nini? Au makato ya fee ya barabara imeanza hata kabla ya budget?
Siku nyingi ila nlikuwa siangalii details ila leo nimefulia nkaweka wa elfu ndio nkawa interested with detailsUmeanza kununua umeme lini?
Hayo makato mapya ila mwanzo hayakuwepo kwakweliHii Trans fee ni nini? Au makato ya fee ya barabara imeanza hata kabla ya budget?
Hii ni ya zamani mkuuHayo makato mapya ila mwanzo hayakuwepo kwakweli
*Payment Successful.22132348743
99001216223508673
Units 1.5KWH
Token 5573 4775 7923 0706 5898
Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
TOTAL 500.00 03/03/21 23:50*
Hizi ndo risiti ninazozijua
Niweka mkuuMkuu wekaa receipt tudadadavue