kalendi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 1,327
- 521
Yaani tangu saa 2 asubuhi leo hakuna huduma ya kununua luku si kwa mawakala wala kwa mpesa maeneo ya hapa Kibaigwa-Dodoma
Hakuna taarifa wala nini.
Kila ukienda kwa wakala unaambiwa mtandao hamna.
Au ndio mko bise kumshtaki Mhando ndio kunafanya wote tukose huduma hii muhimu?
Hakuna taarifa wala nini.
Kila ukienda kwa wakala unaambiwa mtandao hamna.
Au ndio mko bise kumshtaki Mhando ndio kunafanya wote tukose huduma hii muhimu?