Tanesco Kyela imefirisika ?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,296
217,298
Imebidi niulize swali hili ili kupata ukweli .

Wananchi wanaoomba kuunganishiwa umeme kwa pale Kyela Mjini inawachukua hadi miezi 12 ! Kulikoni ?

Hakuna mita wala nguzo , Kisa nini ? Kwa mji unaokua kwa kasi kama Mji wa Kyela kuchelewa kuunganishia umeme wateja wenu kwa zaidi ya mwaka ni kukwamisha maendeleo kusiko na mashiko.

Sasa kama Tanesco imefirisika Tangazeni ili wananchi wajipange kwa ajili ya plan nyingine kama solar nk.

........ Itaendelea ........
 
we jinunulie tu kasolar,kuhuxu TANESCO utangoja sana!

Mbeya mjini kuna kata hazina umeme kabisa!yaani wananchi wanaishi mbali na nguzo,TANESÇO wamesambaza nguzo maeneo ambayo so makaz ya watu!
 
Back
Top Bottom