Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,104
- 53,341
Nani kasema hiyo ni privatization?Wawe makini tu na quality ya kazi, umeme na porojo ni kuleta majanga, Tz ajali za moto sababu ya miundombinu ya Tanaesco ni chache, hivyo privatizations isitumike kama uchochoro wa kupunguza ubora.