Mitandaoni tangu awamu iliyopita Waziri wa Nishati alisema kuanzia sasa nguzo za umeme wa chini (Lv) Tanesco ni bure ila Kodi ya serikali kila mteja Tshs 27000/- lazima ilipwe.
Je, kibiashara Tanesco inawezekana?Tangu tamko hilo litolewe Usambazaji wa umeme imekuwa tatizo. Hilo tamko lilizingatia nini au mbwembwe tu za kupigiwa makofi? Je Tanesco inazalisha nguzo? Kama hapana mwekezaji mwenye shamba la miti atakubali kushusha Bei ya nguzo?
Tupate ufafanuzi ili tuichukie Tanesco au Waziri na Wizara yake
Je, kibiashara Tanesco inawezekana?Tangu tamko hilo litolewe Usambazaji wa umeme imekuwa tatizo. Hilo tamko lilizingatia nini au mbwembwe tu za kupigiwa makofi? Je Tanesco inazalisha nguzo? Kama hapana mwekezaji mwenye shamba la miti atakubali kushusha Bei ya nguzo?
Tupate ufafanuzi ili tuichukie Tanesco au Waziri na Wizara yake