jacobae
Member
- Oct 29, 2007
- 68
- 1
Wandugu wapendwa hivi kuna tatizo gani mimi sijaelewa, tuliambiwa kutakuwa na mgao wa saa kumi lakini naona huu wa karibu saa 24 kuna tatizo gani, hapa nilipo tangu jana saa kumi na mbili jioni hadi muda huu haujarudi na maeneo ambayo ulikuwepo wamechukua... ni mgao tu huu huu au kuna tatizo lingine? Tujuzane wenzangu!