MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,994
- 10,497
Tanesco niliwaambia jana kuwa nyinyi ni kerroo tena keroo ya kupitiliza. Mmeshachukua umeme wenu huku kwetu kama kawaida yenu .
Sasa naomba mtueleze huu mgao ni rasmii au ndo mmechoka kuhudumia.
Nataka kujua mtaurudisha saa ngapi au vinginevyo niende kununua kiwese nijiandae kwa kibatali.
Yaani mnakera mnakera. Ukiuliza hivi utaniambia nikupe namba yangu itakusaidia nn??? Ndio itarudisha umeme? Msituzingue umeme huu tunaulipia hamtupi bureee
Eneo kuanzia kigamboni kibada mpaka mbgl saizi hakuna umeme.
RUDISHENI UMEME
TANESCO
CC: @JPMAGUFULI
F.U.A
Sasa naomba mtueleze huu mgao ni rasmii au ndo mmechoka kuhudumia.
Nataka kujua mtaurudisha saa ngapi au vinginevyo niende kununua kiwese nijiandae kwa kibatali.
Yaani mnakera mnakera. Ukiuliza hivi utaniambia nikupe namba yangu itakusaidia nn??? Ndio itarudisha umeme? Msituzingue umeme huu tunaulipia hamtupi bureee
Eneo kuanzia kigamboni kibada mpaka mbgl saizi hakuna umeme.
RUDISHENI UMEME
TANESCO
CC: @JPMAGUFULI
F.U.A