GAGL
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 390
- 395
Serikali inapanga kuigawa TANESCO katika makampuni matatu.
1. Kampuni ya uzalishaji.
2. Kampuni ya usafirishaji.
3. Kampuni ya usambazaji.
Nisaidieni hapo kwenye makampuni mawili ya mwisho, nashindwa kuona tofauti ya kimsingi ya kiutendaji kati ya makampuni haya mawili.
1. Kampuni ya uzalishaji.
2. Kampuni ya usafirishaji.
3. Kampuni ya usambazaji.
Nisaidieni hapo kwenye makampuni mawili ya mwisho, nashindwa kuona tofauti ya kimsingi ya kiutendaji kati ya makampuni haya mawili.