NGolo Kante
Member
- Feb 28, 2017
- 80
- 131
TAARIFA YA UKARABATI WA MASHINE KITUO CHA KUFUA UMEME KWA GESI CHA UBUNGO II
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa kuanzia Januari 9, 2019 hadi Februari 13, 2019 utafanyika ukarabati kwenye mitambo ya kuzalisha umeme ya kituo cha Ubungo II.
Ukarabati huo utahusisha ubadilishaji wa vipuri ili kuiongezea ufanisi mitambo hiyo.
Kutokana na ukarabati huo baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani pamoja na Zanzibar yataathirika kwa kukosa huduma ya umeme.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa kuanzia Januari 9, 2019 hadi Februari 13, 2019 utafanyika ukarabati kwenye mitambo ya kuzalisha umeme ya kituo cha Ubungo II.
Ukarabati huo utahusisha ubadilishaji wa vipuri ili kuiongezea ufanisi mitambo hiyo.
Kutokana na ukarabati huo baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani pamoja na Zanzibar yataathirika kwa kukosa huduma ya umeme.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.
Kituo cha miito ya simu 2194400 na 0768 985100
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU