Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,873
Inadaiwa Bodi ya wakurugenzi ya TANESCO imepania kuachana na Mikataba ambayo inaonekana kuwa mzigo kwa shirika kati yake na Makampuni ya Symbion Power na Aggreko mwezi Oktoba 2014, kutokana gharama kubwa zisizoshikika toka kwa Makampuni haya.
Nini hatma ya TANESCO?
Tunao mbadala wa makampuni haya?
Tutarajie mgao mkubwa kuelekea 2015?
Tumepata uhakika baada ya kupatikana kwa gesi?
Nini hatma ya TANESCO?
Tunao mbadala wa makampuni haya?
Tutarajie mgao mkubwa kuelekea 2015?
Tumepata uhakika baada ya kupatikana kwa gesi?