Tanesco kitengo cha Emergence katika ofisi zao za Matawi kimeondolewa

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,219
12,929
Hii ndiyo taarifa niliyonayo sasa!

Nimefika ofisi ya Tanesco Tabata baada ya kurudi nyumbani kukuta hakuna umeme, nikajaribu kupiga namba zao za Tanesco Tabata zote hazipatikani, nikakumbuka nina namba ya simu ya Tanesco Viwandan Vingunguti kitengo cha Emergence nazo hazipatikani nikaona nipande ofisin kwao Tabata (Posta).

Nimefika pale nikakuta walinzi na mafundi ambao wanarudi shift ya day, walinzi walinibia kitengo cha Emergence kimevunjwa hivo chukua namba kwenye karatasi ndo wametupa leo kuwa watapatikana kwa namba hizo!

Nikachukua namba zile nimeziweka kama kiambatanisho kwenye karatasi hapo chini kupiga hazikupatikana pia! Walinzi wakaendelea kunipa taarifa kuwa kwasasa ofisi zote za tanesco kitengo cha Emergence kimeondolewa ila ukiwa na taarifa upige makao makuu ila hajabu namba hawana ata wao wenyewe! Nikakumbuka miezi kadhaa huko nyuma nilipiga simu mpaka saa 7 usiku hapo Tabata na simu ikapokelewa ila kwasasa ata wahudumu pale wanaotakiwa kupokea report za emergence hakuna ofis zimefungwa.

Nikaingia Google nikapata namba hii hapa (+255) 768 985 100 nikapiga ikapatikana wakanithibitishia kuwa kweli vitengo vya emergence wameondoa kwenye ofisi zao zote kimebaki makao makuu tu! Nikamuuliza hamuoni mnaanza kutengeneza urasimu? Akajibu hapana ndiyo tunaboresha huduma! Basi nikawapa maelekezo na tatizo ilo nikaendelea kuwasisitiza kuwa waya umekatika uko chini kabisa tena kwenye maji na sitopenda litokee janga la kufa mtu

Zoezi likaishia hapo wadau now niko nyumbani nasubiri tanesco watafika lini.

TANESCO
IMG20211206212251.jpg
IMG20211206213448.jpg



Update*****
Saa 22:40 bado Tanesco hawajafika eneo la tukio.
Saa 23:46 bado Tanesco hawajifika eneo la tukio.
Saa 06:28 bado Tanesco hawajafika eneo la tukio.
Saa 12:50 Tanesco wamefika eneo la tukio.
 
Nchi inakwenda hovyo Sana.....ngoja tuone roboti linasema nini juu ya hili swala
 
Wanaweza wakawa kweli wanalenga kuboresha (japo si muumini wa centralization) ila communication flow ndio ugonjwa mkubwa wa mwafrika. Wataacha kila mmoja aseme analoona linafaa.
 
Wanaweza wakawa kweli wanalenga kuboresha (japo si muumini wa centralization) ila communication flow ndio ugonjwa mkubwa wa mwafrika. Wataacha kila mmoja aseme analoona linafaa.
Baba Tanzania nzima tupige namba moja tu kwa kitu ambacho watu wanatakiwa wafike physical?
 
Hii ndiyo taarifa niliyonayo sasa!

Nimefika ofisi ya Tanesco Tabata baada ya kurudi nyumbani kukuta hakuna umeme, nikajaribu kupiga namba zao za Tanesco Tabata zote hazipatikani, nikakumbuka nina namba ya simu ya Tanesco Viwandan Vingunguti kitengo cha Emergence nazo hazipatikani nikaona nipande ofisin kwao Tabata (Posta).

Nimefika pale nikakuta walinzi na mafundi ambao wanarudi shift ya day, walinzi walinibia kitengo cha Emergence kimevunjwa hivo chukua namba kwenye karatasi ndo wametupa leo kuwa watapatikana kwa namba hizo!

Nikachukua namba zile nimeziweka kama kiambatanisho kwenye karatasi hapo chini kupiga hazikupatikana pia! Walinzi wakaendelea kunipa taarifa kuwa kwasasa ofisi zote za tanesco kitengo cha Emergence kimeondolewa ila ukiwa na taarifa upige makao makuu ila hajabu namba hawana ata wao wenyewe! Nikakumbuka miezi kadhaa huko nyuma nilipiga simu mpaka saa 7 usiku hapo Tabata na simu ikapokelewa ila kwasasa ata wahudumu pale wanaotakiwa kupokea report za emergence hakuna ofis zimefungwa.

Nikaingia Google nikapata namba hii hapa (+255) 768 985 100 nikapiga ikapatikana wakanithibitishia kuwa kweli vitengo vya emergence wameondoa kwenye ofisi zao zote kimebaki makao makuu tu! Nikamuuliza hamuoni mnaanza kutengeneza urasimu? Akajibu hapana ndiyo tunaboresha huduma! Basi nikawapa maelekezo na tatizo ilo nikaendelea kuwasisitiza kuwa waya umekatika uko chini kabisa tena kwenye maji na sitopenda litokee janga la kufa mtu

Zoezi likaishia hapo wadau now niko nyumbani nasubiri tanesco watafika lini.

TANESCO View attachment 2035254View attachment 2035255


Update*****
Saa 22:40 bado Tanesco hawajafika eneo la tukio.
Saa 23:46 bado Tanesco hawajifika eneo la tukio.
Saa 06:28 bado Tanesco hawajafika eneo la tukio.
Daaa sasa mbona balaaa!!!mimi hapo tanesco tabata niligombana nao mno, yaani unaweza kumaliza wiki mbili bila kuwaona, wanasema tatizo wako wachache na ni gari moja tu, ndio jamaa akanipa namba binafsi ya fundi, ahaaa, ukimpigia tu dk 20, nyingi ana kuja unampoza kidogo kazi inafanyika, ki ukweli aliniambia tatizo lipo juu unakuta gari liko moja tu, tabata yote, na kuna kazi za ofisi labda za kuhamisha line, sasa ni ngumu kuziacha na kuja kwako!!ndio njia niliyokuwa naitumia miaka yote na kweli ckuwahi kulala giza, cha kufanya unapiga tu simu ofisini unapewa namba ya taarifa, basi unamtafuta!!!
 
Hii ndiyo taarifa niliyonayo sasa!

Nimefika ofisi ya Tanesco Tabata baada ya kurudi nyumbani kukuta hakuna umeme, nikajaribu kupiga namba zao za Tanesco Tabata zote hazipatikani, nikakumbuka nina namba ya simu ya Tanesco Viwandan Vingunguti kitengo cha Emergence nazo hazipatikani nikaona nipande ofisin kwao Tabata (Posta).

Nimefika pale nikakuta walinzi na mafundi ambao wanarudi shift ya day, walinzi walinibia kitengo cha Emergence kimevunjwa hivo chukua namba kwenye karatasi ndo wametupa leo kuwa watapatikana kwa namba hizo!

Nikachukua namba zile nimeziweka kama kiambatanisho kwenye karatasi hapo chini kupiga hazikupatikana pia! Walinzi wakaendelea kunipa taarifa kuwa kwasasa ofisi zote za tanesco kitengo cha Emergence kimeondolewa ila ukiwa na taarifa upige makao makuu ila hajabu namba hawana ata wao wenyewe! Nikakumbuka miezi kadhaa huko nyuma nilipiga simu mpaka saa 7 usiku hapo Tabata na simu ikapokelewa ila kwasasa ata wahudumu pale wanaotakiwa kupokea report za emergence hakuna ofis zimefungwa.

Nikaingia Google nikapata namba hii hapa (+255) 768 985 100 nikapiga ikapatikana wakanithibitishia kuwa kweli vitengo vya emergence wameondoa kwenye ofisi zao zote kimebaki makao makuu tu! Nikamuuliza hamuoni mnaanza kutengeneza urasimu? Akajibu hapana ndiyo tunaboresha huduma! Basi nikawapa maelekezo na tatizo ilo nikaendelea kuwasisitiza kuwa waya umekatika uko chini kabisa tena kwenye maji na sitopenda litokee janga la kufa mtu

Zoezi likaishia hapo wadau now niko nyumbani nasubiri tanesco watafika lini.

TANESCO View attachment 2035254View attachment 2035255


Update*****
Saa 22:40 bado Tanesco hawajafika eneo la tukio.
Saa 23:46 bado Tanesco hawajifika eneo la tukio.
Saa 06:28 bado Tanesco hawajafika eneo la tukio.
Saa 12:50 Tanesco wamefika eneo la tukio.
'"Mtanikumbuka" John Joseph Magufuli (Rest in peace)
 
Kiambatanisho toka hapo chini mpaka juuView attachment 2035265
Tunashukuru kwa taarifa mpendwa mteja wetu

Tunapenda kukujulisha kuwa Shirika limeendelea kuboresha huduma zake, moja ya hatua tuliyochukua ni kuwa na namba moja na kituo kimoja cha kupokea simu za wateja ambapo kwa kuanza tumeanza na Mikoa ya Dar es Salaam, Namba yetu ni 0758550000 na inapatikana muda wote

Tumepokea lalamiko lako kwa uchunguzi na hatua zaidi

Tunaomba radhi ya adha yeyote uliyodai kupitia.
 
Tunashukuru kwa taarifa mpendwa mteja wetu

Tunapenda kukujulisha kuwa Shirika limeendelea kuboresha huduma zake, moja ya hatua tuliyochukua ni kuwa na namba moja na kituo kimoja cha kupokea simu za wateja ambapo kwa kuanza tumeanza na Mikoa ya Dar es Salaam, Namba yetu ni 0758550000 na inapatikana muda wote

Tumepokea lalamiko lako kwa uchunguzi na hatua zaidi

Tunaomba radhi ya adha yeyote uliyodai kupitia.
Mbona Kama namba 2 tofauti. Nani yupo sahihi hapa
IMG-20211204-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom