mafinga kwetu
Member
- Nov 21, 2010
- 35
- 3
Ni takribani siku nane hivi maeneo ya lufungira/mlalakuwa hatuna umeme...tumejalibu kufuatilia kwa nini hawashughurikia wanasema eti transformer imehalibika....wanachofanya wanapita kwenye nyumba za mtaani wanakusanya kwa wale wenye pesa wanawahamisha line...
Kwa uchunguzi tuliofanya tumegundua wanachelewesha kusolve tatizo ili waendelee kuvuna pesa.....................customer care tukipiga miyeyusho...
Mh Mdee nadhani ni wewe pekeee unaweza kutusaidia kuepukana na kero za hawa mafisadi...Thanx
Kwa uchunguzi tuliofanya tumegundua wanachelewesha kusolve tatizo ili waendelee kuvuna pesa.....................customer care tukipiga miyeyusho...
Mh Mdee nadhani ni wewe pekeee unaweza kutusaidia kuepukana na kero za hawa mafisadi...Thanx