Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,515
- 11,034
Ni wilaya ya tarime, halmashauri ya tarime vijijiniJe ni wilaya gani? Namba yako ya simu tafadhali
Kanda maalum.
tunapakana na nyamwaga na nyamongo
Ni wilaya ya tarime, halmashauri ya tarime vijijiniJe ni wilaya gani? Namba yako ya simu tafadhali
SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA KUKATIKA KWA UMEMEMna tabia ya kukata umeme punde mvua inaponyesha. Hili tatizo lipo hasa Arusha mitaa ya Moshono.
Je mvua ikinyesha nonstop mwezi mzima tutabaki Bila huduma?