TANESCO inarudi mikononi mwa mafisadi?

Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.
Huyu Msoga Gang ,kwann hana huruma?
 
Wakati mwingine acha ujinga wako

Wewe ndiyo uache UJINGA kwa kuamini kwamba ufisadi uliisha...Sisi ndio wataalam tunajua issue nyingi sana , kawaulize TAKUKURU wakupe mafaili ya Staffs wa TANESCO walioingia kwenye 18 kwa RUSHWA.

Rushwa Inatembea na ufisadi unaendelea kama kawaida hautaisha na Hautokuja Kuisha hata Mkurugenzi wa TANESCO upewe WEWE.
 
Wewe ndiyo uache UJINGA kwa kuamini kwamba ufisadi uliisha...Sisi ndio wataalam tunajua issue nyingi sana , kawaulize TAKUKURU wakupe mafaili ya Staffs wa TANESCO walioingia kwenye 18 kwa RUSHWA.

Rushwa Inatembea na ufisadi unaendelea kama kawaida hautaisha na Hautokuja Kuisha hata Mkurugenzi wa TANESCO upewe WEWE.
Mimi kama mimi siwezi kuteuliwa kuwa kiongozi wa taasisi yoyote kutokana na umri wangu! Nyie tunawasubiri muwawajibishe mafisadi
 
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.

Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.

Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .

Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.

Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.

Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!

Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya mafisadi ?

Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?

Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya majamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!

Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme!

Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?

Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee TANESCO na Nchi.
Usicheze na february Marope bana, hizo ndio zake,waulize watu wa migodini na viwanda alipokuwa ofisi ya Danganya.
 
Wewe ndiyo uache UJINGA kwa kuamini kwamba ufisadi uliisha...Sisi ndio wataalam tunajua issue nyingi sana , kawaulize TAKUKURU wakupe mafaili ya Staffs wa TANESCO walioingia kwenye 18 kwa RUSHWA.

Rushwa Inatembea na ufisadi unaendelea kama kawaida hautaisha na Hautokuja Kuisha hata Mkurugenzi wa TANESCO upewe WEWE.
ufisadi na rushwa haviwezi kuisha bt rushwa na ufisadi unaosimamisha huduma za kijamii ni mbaya zaidi na kwa sasa ndo tunaupitia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom