Tanesco inahitaji kuwezeshwa

mpenda

JF-Expert Member
Jul 21, 2010
250
22
Nasikita sana ninaposikia citizen wakii blame Tanesco kwa mgao wa dharura uliotangazwa hivi karibuni. Mimi na suggest tuangalie kwa undani matatizo yanayolikabili shirika hili. wana vyanzo vile vile 5 vya kuzalisha umeme (Pangani, mtera, kihansi, kidatu & nyumba ya mungu - vinategemea standard ya ujazo wa maji kuweza kuoperate) pamoja na mtambo wa thermal hapo ubungo, huku mahitaji yakiwa yameongezeka maradufu kwa wateja wa nyumbani, viwanda, mashirika/makampuni, miradi, migodi etc. uwezo wao wa kuzalisha hauwiyani hata kidogo na mahitaji ya sasa. nadhani wanahitaji kuanzisha vyanzo vingine ambavyo ni huge investment (monetary) je watawezeshwaje? kama sikosei mashirika binafsi yamesharuhusiwa kuingia kwenye biashara ya umeme, sasa wako wapi?? please MM naomba tujadili kwa undani zaidi
 
Back
Top Bottom