Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Hapana si kweli kwamba miti ikikatwa leo inaota kesho yake.Hii kitu niliisikia Bungeni. Mbunge wa mali asili na utalii akisistiza tutangaze kile kama kivutio cha utalii.
Mkuu ningepata hayo maelezo ya miti kukatwa leo kesho inarudi kama ilivyokua Mwanzo nadhani hapo unataka kunisafirisha baba. Ninaamini kabisa hili tukio lingekua moja ya 7 wonders of the world! au nimekosea?