Tanesco Ifunda: Ni kweli sayansi eneo hili imechemka kwenye uchawi?

hehehehe umeona mzee hapo electons zilidunda kwenye kaburi hilo jeupe huyo mzee alyezikwa hapo ndo Ndundami wa enzi hizo naona hata Mtwa Mkwawa alikuwa haoni ndani kwa sayansi ya Kibongo.

Nimemkumbuka mkulumba Kinjekitile kwenye vita vya Majimaji. Wazungu walipata habari yao. Wangekuwepo enzi hizi, mafisadi wangepata habari yao.
 
Waulize TANESCO IRINGA kama wewe Tomaso angalia hapo kwenye picha nyaya zilivyo pita ilishindikana ikabidi wahamishe nyaya upande wa pili kuyakwepa makabuli hayo kisha wakarudisha tena upande mwingine

Au kama haamini, awaulize wajapani kwanini walishindwa kuuangusha ule mbuyu pale Mbuyuni Namanga.
 
Au kama haamini, awaulize wajapani kwanini walishindwa kuuangusha ule mbuyu pale Mbuyuni Namanga.

Kama haamini awaulize Walokole walio enda Nyumba Nitu kuomba kwa Mungu eti ni mapepo pale nini walicho fanyiwa? Ngoja Anko NL aje hapa ndo anajua historia ya Mkoa wa Iraq.
 
Hujataka tu kuzipanda mamii.

Tatizo yale masharti unafikiri utayaweza,yani upande bila kuvaa nguo,sasa nitaingiaje ofisini.Na nauli yako hawahitaji kabisa.Ndio maana tunaitwa bara la giza.Ushetani umezidi hadi shetani mwenyewe anatushangaa.
 
Tatizo yale masharti unafikiri utayaweza,yani upande bila kuvaa nguo,sasa nitaingiaje ofisini.Na nauli yako hawahitaji kabisa.Ndio maana tunaitwa bara la giza.Ushetani umezidi hadi shetani mwenyewe anatushangaa.

Huoni raha kama sote tungekuwa tunatembea uchi? Mavazi tunaiga ya wazungu, si jadi yetu.
 
Hahahaha dah kutembea watupu teh teh teh wenye maumbile makubwa wangepata taabu kwenye foleni....

Mpwa lakini ingekuwa burudani ya aina yake. Hebu imagine mpwa unakutana ma Ziond kwenye lift, peke yenu afu mko bila vivazi. Lol! Umeme ukikatika lalalalalala!
 
Huoni raha kama sote tungekuwa tunatembea uchi? Mavazi tunaiga ya wazungu, si jadi yetu.
Mavazi hatuigi my dear,ila tulikuwa tunavaa staili yetu ya majani au ngozi,ni mitindo tu.Na hatukuiga kwa wazungu,ila Adamu alipokula tunda(sijui apple?) ndipo alipojiona uchi na akaamua kuanza kuvaa.Na sisi wanadamu wote ni watoto wa adamu.
 
Mavazi hatuigi my dear,ila tulikuwa tunavaa staili yetu ya majani au ngozi,ni mitindo tu.Na hatukuiga kwa wazungu,ila Adamu alipokula tunda(sijui apple?) ndipo alipojiona uchi na akaamua kuanza kuvaa.Na sisi wanadamu wote ni watoto wa adamu.

Hahaha Ziond umenifurahisha eti Sijui apple. Wakati unajua fika kabisa ilikuwa ile kitu yenyewe.
 
Jamani ehh,
Hiki kitu kinafundishwa hata kwa Wahandisi. Ukiwa unasoma kuna somo mnapata jinsi ya kuishi sehemu ngeni. Kwa mfano Wa-Spain wana vitabia vya ambavyo ukitaka kufanya nao kazi lazima uvifahamu maana vinginevyo utalia. Nchi kama Iceland ukitoa TIP au Keep change, jamaa atajua umeamua KUMTUKANA. Sasa Wazungu/Waasia wakija Africa huwa wamesoma kabisa kuwa "Mitanzania ina vimila, mivivu, mishamba, mibishi, NDIVYO ILIVYO,........, uchawi nk". Na kabla hawajaanza kazi, huwezi amini wanaweza kwa kuanza kutoa zaka kwa wazee kuitwa na kuchinjwa pale wanyama na damu kumwagwa. Si kuwa wao wanaogopa, ila wanafahamu kwa kimila, watumiaji ambao ni sisi, hatutakuja kupata madhara baadaye.

Supernatural power zipo na Wazungu wanafahamu kuwa zipo. Wazungu wenyewe kama UK wana uchawi sana. Kama huamini basi hebu kaa usome au uangalie zile film za Harry Porter. Mle ndani kuna akina kibibi Guru kibao na wao badala ya ungo wanatumia Mfagio.......
 
Hahaha Ziond umenifurahisha eti Sijui apple. Wakati unajua fika kabisa ilikuwa ile kitu yenyewe.
Usitafsiri tofauti,maandiko yalisema tunda,sio ile kitu.Ile kitu ilikuwepo toka kabla hawajala tunda,Mungu aliwaruhusu wafanye ndio maana aliwaambia wazae wakaongezeke.Unafikiri wangezaaje bila hiyo kitu?Kwa hiyo ilikuwa ni TUNDA.
 
Usitafsiri tofauti,maandiko yalisema tunda,sio ile kitu.Ile kitu ilikuwepo toka kabla hawajala tunda,Mungu aliwaruhusu wafanye ndio maana aliwaambia wazae wakaongezeke.Unafikiri wangezaaje bila hiyo kitu?Kwa hiyo ilikuwa ni TUNDA.

Kwani ile kitu Siyo Tunda? Mbona inakuwa tamu namna hiyo? Na kama siyo tunda mbona baada ya kuila walifunika biology zao, siyo kwamba zilikuwa zimeloaloa wakaona nishai zikionwa na Mungu?
 
Chrispin unahitaji shule ya biblia.Nitamwambia Fidel80 akupe tuition maana Fidel kwa maombi humuwezi.
 
Kwani ile kitu Siyo Tunda? Mbona inakuwa tamu namna hiyo? Na kama siyo tunda mbona baada ya kuila walifunika biology zao, siyo kwamba zilikuwa zimeloaloa wakaona nishai zikionwa na Mungu?

Nakuunga mkono Mkuu...
 
Chrispin unahitaji shule ya biblia.Nitamwambia Fidel80 akupe tuition maana Fidel kwa maombi humuwezi.

Hapo ndipo unapokosea mamii. Kwenye swala la mahubiri tuna mchungaji Masanilo, Katekista Geoff na Shemasi Chrispin. Fidel bado yuko kwenye mafundisho ya Kipaimara.
 
Hapo ndipo unapokosea mamii. Kwenye swala la mahubiri tuna mchungaji Masanilo, Katekista Geoff na Shemasi Chrispin. Fidel bado yuko kwenye mafundisho ya Kipaimara.

Yani humuamini mtumishi Fidel? we unafikiri huko kwenye makaburi ya hao anasema wachawi alienda kufanya nini? si kupiga maombi.au anazuga alikuwa kutambika na kudumisha mila za waafrika?
 
Yani humuamini mtumishi Fidel? we unafikiri huko kwenye makaburi ya hao anasema wachawi alienda kufanya nini? si kupiga maombi.au anazuga alikuwa kutambika na kudumisha mila za waafrika?

Ngoja arudi toka lunch, atakujibu mwenyewe. Umeanzisha bifu na mpwa wangu. Omba radhi mapema au niPM tutete kidogo.
 
4.jpg

Kaburi la Martin Kiyeyeu eneo la Malolo kilomita 30 kutoka Iringa kuelekea Mbeya ni maarufu kwa kisa cha kweli pale mafundi wa umeme waliposhindwa kupitisha waya wa umeme juu ya kaburi hilo. Walipojaribu kufanya hivyo waya zilikatika. Ndio sababu unaweza kuona hapo mbele waya zimekatisha barabara! Haya kuna wataalamu wa kutupa ufafanuzi wa kisayansi?! Kwa hiyo sayansi ya nguvu ya Giza ina nguvu kuliko sayansi ya Mzungu?

Nilikuwa sijaipata Hii mkuu duh haya mambo tena
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom