Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,657
- 29,142
Aliukuta na kauachaMagu kaondokq na umeme wak
Aliukuta na kauachaMagu kaondokq na umeme wak
Halafu wanakwambia tuma jina utafikiri hawana meneja wa TANESCO Hilo eneo,wakati umetaja eneo husika.Wamekata Tena kabindi(biharamulo)
Huyo jamaa Makamba mbona ni msanii siku nyingi. Sikukubaliana na Magufuli kwa mengi lakini katika vitu alivyofanya sahihi ni kuwapuuza watu kama kina Makamba. Hawa wote pamoja na huyu mama ni watu wa usanii zaidi. Utekelezaji ni sifuri.Na mapozi Kama ya mtu mwenye busara kumbe zero,ni ujanjaujanja tu.
Walipopuuzwa waliamini wameonewa Sasa ngoja tuone uwezo wao.Huyo jamaa Makamba mbona ni msanii siku nyingi. Sikukubaliana na Magufuli kwa mengi lakini katika vitu alivyofanya sahihi ni kuwapuuza watu kama kina Makamba. Hawa wote pamoja na huyu mama ni watu wa usanii zaidi. Utekelezaji ni sifuri.
Huyo alishashindwa zamani ni mpiga madili tu sasa ni wakati wa madili tu nilishangaa mama aliposema anaangalia utendaji,nikanywa Panadol nikalala.Sasa sukumagang wameshaondolewa wote ndo walikuwa wanahujumu,kwanini unakatika?.
Heri hii wizara wangempa Yule Eng.Mramba kuliko huu muuza sura.
Wala tusisubiri. Nina uhakika kwa asilimia kubwa kuwa hawawezi. Hawa si ndiyo hao hao waliokuwepo kipindi cha Kikwete? Walifanya nini zaidi ya kusafiri, kutembeza bakuli na kuigeuza nchi ya wapiga dili?Walipopuuzwa waliamini wameonewa Sasa ngoja tuone uwezo wao.
🤣🤣🤣🤣🤣Wala tusisubiri. Nina uhakika kwa asilimia kubwa kuwa hawawezi. Hawa si ndiyo hao hao waliokuwepo kipindi cha Kikwete? Walifanya nini zaidi ya kusafiri, kutembeza bakuli na kuigeuza nchi ya wapiga dili?
😂😂😂😂Huyo alishashindwa zamani ni mpiga madili tu sasa ni wakati wa madili tu nilishangaa mama aliposema anaangalia utendaji,nikanywa Panadol nikalala.
Dogo Hapo sofan sebuleni kwa shemeji yako Kuna lalika kweli?Wanahamasisha tabia mbaya sana yaani wanakata usiku isitoshe nina shemeji yangu ndani Demu wa Rafiki yangu wa mbali.
Hapa najiuliza maisha yanaendaje usiku wa leo.Dogo Hapo sofan sebuleni kwa shemeji yako Kuna lalika kweli?
Si ukalale chini ya mtiHapa najiuliza maisha yanaendaje usiku wa leo.