Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
yaani nishawahi kulala gizani mara kibao kwa sababu nilikuwa nawaaachia mabinti ila nikaona hakuna sababu ya kulala giza kwa sababu ya uzembeUkiwa na matumizi makubwa halafu unanunua kidogo kidogo kwa hali ilivyo kulala giza lazima, mie kipindi kile nilinusulika nilinunua ukagoma baadaye nikatumiwa token voda na tigo, maranyingi ile alarm inashitua napo zinakuwa kati ya 4-5
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app