julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,606
- 3,399
Shirika letu ndio lilipaswa kuwa la kwanza kuwa walinzi wa mazingira. Hili suala limekuwa na ukakasi mkubwa ukataji miti bila kujali manufaa yake eti kisa waya upo juu uangaliwe upya
Miti ya mjini ni muhimu sana kupendezesha mandhari na kivuli. kama waya upo juu bajeti hio hio ya kuifyeka mngei prune kwa juu vizuuri sio kuifyeka kabisa nchi itakuwa jangwa. Kitengo cha mazingira kaeni tena muweke mikakati ya kuinusuru miti ya mjini.yaani idara ya mazingira imekosa kabisa mbinu?
Inusuruni miti ya mjini, miti ina faida sana kijamii,kiroho na kdhalika mimi kama bwana miti inaniuma sana hili jambo.
Nimepita mahali wamefyeka miti mikubwa mikubwa mjin kati si mngeikata juu huko
Miti ya mjini ni muhimu sana kupendezesha mandhari na kivuli. kama waya upo juu bajeti hio hio ya kuifyeka mngei prune kwa juu vizuuri sio kuifyeka kabisa nchi itakuwa jangwa. Kitengo cha mazingira kaeni tena muweke mikakati ya kuinusuru miti ya mjini.yaani idara ya mazingira imekosa kabisa mbinu?
Inusuruni miti ya mjini, miti ina faida sana kijamii,kiroho na kdhalika mimi kama bwana miti inaniuma sana hili jambo.
Nimepita mahali wamefyeka miti mikubwa mikubwa mjin kati si mngeikata juu huko