Tanesco hii ni Aibu kwa taifa

Noti mpya tz

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
974
244
Kuna kituko kimetokea cha kimataifa, Ndege ya KLM ilikuwa inaambaa ambaa kuutafuta uwanja wa ndege wa JNIA, Dar. walifanya mawasilianao na operator wa dar wakaambiwa wanaweza kutua bila shida, mawasiliano yaliendelea badae umeme ukakatika na ilikuwa usiku Rubani akauliza vipi imekuaje? Operator akamjibu umeme uekatika, rubani akauliza sasa tulioko angani tutafanyaje? jamaa akamjibu kuwa hajui hata awasaidiaje akawambia wajaribu kuona namna watakavyofanya huko juu, rubani akazidi kuusogelea uwanja wa dar alipofika akaona kweli giza tupu so akaamua kwenda kutua Nairobi, ile anavuta kasi kwenda nairobi umeme ukarudi na jamaa akamwambia basi tua tu maana umeme umerudi rubani akageuza ndege ile anakaribia umeme tena ukakatika akaambiwa so ikabidi tena arudi kuelekea nairobi ile anaanza kutua JKIA, Nairobi akapigiwa simu tena umeme umerudiiiiiii.
Rubani akawa anatukana matusi ya nguoni
 
halafu wakati anaendelea kutukana matusi ya nguoni..............ukakatika tena.
 
Hii ndo nchi ya Wadanganyika, tumedanganyika kwa miaka 50 na bado tunadanganyika. Nimeona wanaJF wameipa hii nchi jina jipya 'Tanzagiza'. :A S embarassed:
 
huyo rubani atakuwa sio mtanzania... Teh teh teh watanzania ni wavumilivu na wapenda amani hawajui kutukana
 
Angetumia tochi kumulikia mahala pa kutua.anakuwa kama hajasoma bhana!!
 
Back
Top Bottom