Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,862
"Hakuna tatizo la mgao wa umeme, ili kuwe na mgao wa umeme ina maana umeme unaozalishwa unakuwa haukidhi mahitaji.
Kwa sasa tunazalisha MW 1,600 na matumizi ya kiwango cha juu ya umeme kilichorekodiwa wiki iliyopita ni MW 1,273.42" Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
"Katika kuleta umeme kwa wateja wetu kuna mambo matatu :- 1. Kuzalisha umeme 2. Usafirishaji umeme 3. Usambazaji . Matatizo mengi ya kukatika umeme yanatokana na eneo la usambazaji" Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
"idadi ya wateja imeongezeka zaidi kutaka kuunganishiwa umeme, na katika robo ya kwanza tumewaunganisha wateja 150,000 kutoka kwenye lengo la kuwaunganisha wateja 75,000"
"Sisi ni shirika la huduma, kazi yetu ni kutoa huduma kwa wateja, tuna kazi kubwa ya kutoa huduma kwa wateja. Hatuhitaji ile uwe na rafiki unayemjua ndipo upate huduma kwa haraka, na kwenye tumeongeza ufanisi kwa kuwa na matumizi ya mifumo zaidi kuliko mikono" Maharage Chande
Hakuna heshima kubwa kama kupata nafasi ya kulitumikia Taifa lako. Thamani yake ni kubwa sana katika hilo " Ndg. Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Akihojiwa katika kipindi cha #JotoKalilaAsubuhi kinachorushwa na EFM
Kwa sasa tunazalisha MW 1,600 na matumizi ya kiwango cha juu ya umeme kilichorekodiwa wiki iliyopita ni MW 1,273.42" Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
"Katika kuleta umeme kwa wateja wetu kuna mambo matatu :- 1. Kuzalisha umeme 2. Usafirishaji umeme 3. Usambazaji . Matatizo mengi ya kukatika umeme yanatokana na eneo la usambazaji" Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO
"idadi ya wateja imeongezeka zaidi kutaka kuunganishiwa umeme, na katika robo ya kwanza tumewaunganisha wateja 150,000 kutoka kwenye lengo la kuwaunganisha wateja 75,000"
"Sisi ni shirika la huduma, kazi yetu ni kutoa huduma kwa wateja, tuna kazi kubwa ya kutoa huduma kwa wateja. Hatuhitaji ile uwe na rafiki unayemjua ndipo upate huduma kwa haraka, na kwenye tumeongeza ufanisi kwa kuwa na matumizi ya mifumo zaidi kuliko mikono" Maharage Chande
Hakuna heshima kubwa kama kupata nafasi ya kulitumikia Taifa lako. Thamani yake ni kubwa sana katika hilo " Ndg. Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Akihojiwa katika kipindi cha #JotoKalilaAsubuhi kinachorushwa na EFM