Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 321
- 67
Kwanza Tanesco wamepandisha gharama za kuunganishia umeme wateja kwa zaidi ya 200%
EWURA wamekataa ongezeko hilo
Tanesco kasitisha huduma uunganishaji wa umeme kwa wateja akidai gharama anatotumia ni kubwa kuliko anayopata
Wananchi wanalalamika ongeeko ni kubwa mno
EWURA ni shirika la Serikali au?
Tanesco ni Shirika la Serikali au?
Kama ni ya serikali si yanapata ruzuku ambazo ni kodi za wananchi
Leo hii mwanachi anaambiwa akanunue vifaa vyake mwenyewe ambavyo hata hivyo madukani havipatikani, urasimu Tanesco ni mkubwa sana hapa kuna watu wanaitwa vishoka ktk kila offisi ya Tanesco kuna watu huwa pale nje wako maalumu kwa kazi za rushwa za wakubwa ndani ya ofisi. Hawa si wafanyakazi wa tanesco bali ni wasaidizi wa maofisa wa Tanesco katika rushwa. Mteja akiingia ndani atakutana na tangazo hakuna huduma za uunganishaji umeme akitoka tu anakutana na hao vishoka
Haya malumbano ni dili kwa vishoka ambao ni vibaraka wa maofisa wa tanesco;
Maisha bora ni ndoto kwa hali hii
EWURA wamekataa ongezeko hilo
Tanesco kasitisha huduma uunganishaji wa umeme kwa wateja akidai gharama anatotumia ni kubwa kuliko anayopata
Wananchi wanalalamika ongeeko ni kubwa mno
EWURA ni shirika la Serikali au?
Tanesco ni Shirika la Serikali au?
Kama ni ya serikali si yanapata ruzuku ambazo ni kodi za wananchi
Leo hii mwanachi anaambiwa akanunue vifaa vyake mwenyewe ambavyo hata hivyo madukani havipatikani, urasimu Tanesco ni mkubwa sana hapa kuna watu wanaitwa vishoka ktk kila offisi ya Tanesco kuna watu huwa pale nje wako maalumu kwa kazi za rushwa za wakubwa ndani ya ofisi. Hawa si wafanyakazi wa tanesco bali ni wasaidizi wa maofisa wa Tanesco katika rushwa. Mteja akiingia ndani atakutana na tangazo hakuna huduma za uunganishaji umeme akitoka tu anakutana na hao vishoka
Haya malumbano ni dili kwa vishoka ambao ni vibaraka wa maofisa wa tanesco;
Maisha bora ni ndoto kwa hali hii