majiyachupa
Member
- Jul 5, 2011
- 57
- 11
Inasikitisha sana,
Lakini kwa kuwa sina kwa kupeleka malalamiko yangu zaidi ya hapa jf acha nitoe la rohoni
Inaudhi sana unapopiga call centre halafu badala ya kupokea simu inakatwa bila kupokelewa na hela yako inaliwa, hata ikikatwa zaidi ya mara 5 kama lililonikuta leo bado unaliwa hela yenyewe ngumu hii mbaya zaidi shida haitatuliwi
Kama huyo dada (wa leo) kazidiwa kazi kwa nini msiongeze wakati mnaongeZA gharama kwa 68%
Yaani hovyo kabisa
Mfyuuuuuuuuu zenu
Lakini kwa kuwa sina kwa kupeleka malalamiko yangu zaidi ya hapa jf acha nitoe la rohoni
Inaudhi sana unapopiga call centre halafu badala ya kupokea simu inakatwa bila kupokelewa na hela yako inaliwa, hata ikikatwa zaidi ya mara 5 kama lililonikuta leo bado unaliwa hela yenyewe ngumu hii mbaya zaidi shida haitatuliwi
Kama huyo dada (wa leo) kazidiwa kazi kwa nini msiongeze wakati mnaongeZA gharama kwa 68%
Yaani hovyo kabisa
Mfyuuuuuuuuu zenu