TANESCO Butiama mtatutesa mpaka lini?

Dec 4, 2019
46
43
Ni wiki ya pili sasa hatuna umeme, transformer yenu iliharibika baada ya nyie kutoianyia maintenance kwa miaka.
Kila mkija mnazunguka zunguka na lori lenu mnaangalia transformer kisha mnaondoka.

Simu hampokei., na mkipokea mmekuwa waongo mno.. Hapa kuna taasisi zaidi ya tatu zinazotegemea umeme kupump maji, hivi tutaishi vipi bila maji?

Swala la nyie kuja na kuunganisha transformer ya karibu ikasambaza umeme mnashindwaje?

Mita zingine mmeweka juu ya nguzo na umeme ukiisha zinajilock hadi mje mpande juu ya nguzo ndo mzifungue. Mkiitwa makaa siku mbili ndo mje, mara ooh hakuna usafii MUNGU ANAWAONA

Ukitaka kuungiwa umeme ndo usiseme, mnataka mbebelezwe miezi miwili.
TANESCO KERO NA MATESO YAMEZIDI HAYAVUMIIKI
 
Ni wiki ya pili sasa hatuna umeme, transformer yenu iliharibika baada ya nyie kutoianyia maintenance kwa miaka.
Kila mkija mnazunguka zunguka na lori lenu mnaangalia transformer kisha mnaondoka. Simu hampokei., na mkipokea mmekuwa waongo mno.. Hapa kuna taasisi zaidi ya tatu zinazotegemea umeme kupump maji, hivi tutaishi vipi bila maji?
Swala la nyie kuja na kuunganisha transformer ya karibu ikasambaza umeme mnashindwaje?

Mita zingine mmeweka juu ya nguzo na umeme ukiisha zinajilock hadi mje mpande juu ya nguzo ndo mzifungue. Mkiitwa makaa siku mbili ndo mje, mara ooh hakuna usafii MUNGU ANAWAONA

Ukitaka kuungiwa umeme ndo usiseme, mnataka mbebelezwe miezi miwili.
TANESCO KERO NA MATESO YAMEZIDI HAYAVUMIIKI
Ahsante kwa taarifa tunaifanyia kazi tafadhali
 
Ni wiki ya pili sasa hatuna umeme, transformer yenu iliharibika baada ya nyie kutoianyia maintenance kwa miaka.
Kila mkija mnazunguka zunguka na lori lenu mnaangalia transformer kisha mnaondoka. Simu hampokei., na mkipokea mmekuwa waongo mno.. Hapa kuna taasisi zaidi ya tatu zinazotegemea umeme kupump maji, hivi tutaishi vipi bila maji?
Swala la nyie kuja na kuunganisha transformer ya karibu ikasambaza umeme mnashindwaje?

Mita zingine mmeweka juu ya nguzo na umeme ukiisha zinajilock hadi mje mpande juu ya nguzo ndo mzifungue. Mkiitwa makaa siku mbili ndo mje, mara ooh hakuna usafii MUNGU ANAWAONA

Ukitaka kuungiwa umeme ndo usiseme, mnataka mbebelezwe miezi miwili.
TANESCO KERO NA MATESO YAMEZIDI HAYAVUMIIKI
Bila shaka mleta uzi umepata mwongozo.

Maana nimekuitia wahusika
 
Ahsante kwa taarifa tunaifanyia kazi tafadhali
Porojo dot com, mimi niko Dar na nina TB namba ya tangu june kuja kuondowa nguzo iliyooza mpaka leo mmekalia porojo tu.

Nataka kufunguwa RB Polisi ili mvua zikianza ile nguzo ikaanguka kwa upepo mkali upelelezi wa kesi usilete shida, kuna watu watakwenda kuozea jela kwa kesi ya mauwaji.

Dawa yenu naijuwa na nimejipanga vizuri kuhakikisha nakomesha uhuni wenu.
 
Porojo dot com, mimi niko Dar na nina TB namba ya tangu june kuja kuondowa nguzo iliyooza mpaka leo mmekalia porojo tu.

Nataka kufunguwa RB Polisi ili mvua zikianza ile nguzo ikaanguka kwa upepo mkali upelelezi wa kesi usilete shida, kuna watu watakwenda kuozea jela kwa kesi ya mauwaji.

Dawa yenu naijuwa na nimejipanga vizuri kuhakikisha nakomesha uhuni wenu.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Namba ya taarifa

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Namba ya taarifa

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Hili shirika lisipo tafutiwa mpinzani wake hawata jirekebisha.
 
Back
Top Bottom