TANESCO: bili za mwezi huu kiboko jamaa wamefanya maisha kuwa magumu zaidi

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Jamani mimi Mtanganyika kazi yenyewe hii ya uwalimu bili imekuja toka 23,000 hadi 39,879/= si tunakoelekea jamani ni kukaa gizani kwa sie tusio kuwa nacho?

Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32


Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??
 
Afadhali ya kwako wenzio wametoka 20,000 mpaka laki na ushee!! MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!!
 
MKUU JIPANGE
DAWA YA HAWA WEZI NI kutafuta alternative
Kuna solar za laki nane ukizifunga hizo
mbona tanesco utawasahau
ndio njia pekee
ya kufanya mkubwa
 
Jamani mimi Mtanganyika kazi yenyewe hii ya uwalimu bili imekuja toka 23,000 hadi 39,879/= si tunakoelekea jamani ni kukaa gizani kwa sie tusio kuwa nacho?

Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32


Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??

Mawazo yangu ndugu yangu kajiendeleze kielimu zaidi kwani maisha yako ya ualimu yatazidi kuwa magumu na mimi sioni sababu ya kulalamika. Hao viongozi hawajali mtu kama wewe hivyo jiangalie mwenyewe na kajiendeleze kielimu utaona maisha yanabadilika. Usijichukulie kama mtu uliyeshidwa!
 
haaaa....mimi nilidhani niko peke yangu.......bili yangu imeongezeka elfu 40 na zaidi......
mbona twafa.......
 
Mawazo yangu ndugu yangu kajiendeleze kielimu zaidi kwani maisha yako ya ualimu yatazidi kuwa magumu na mimi sioni sababu ya kulalamika. Hao viongozi hawajali mtu kama wewe hivyo jiangalie mwenyewe na kajiendeleze kielimu utaona maisha yanabadilika. Usijichukulie kama mtu uliyeshidwa!
kwani walimu ndo wenye maisha magumu tu!!!ajiendeleze kielimu aongeza ujuzi au mshahara!?hata walimu wapo wenye maisha mazuri usishushe taaluma kiasi hicho mkuu!
 
Mawazo yangu ndugu yangu kajiendeleze kielimu zaidi kwani maisha yako ya ualimu yatazidi kuwa magumu na mimi sioni sababu ya kulalamika. Hao viongozi hawajali mtu kama wewe hivyo jiangalie mwenyewe na kajiendeleze kielimu utaona maisha yanabadilika. Usijichukulie kama mtu uliyeshidwa!

Kaka unachanganya kati ya elimu na mfumuko wa bei nchini,kuwa na elimu au kutokuwa nayo haipi serikali chhance ya kupandisha huduma bila ya kuzingatia maisha ya jumla ya wananchi wake wote,nani alisema ukiwa na elimu kubwa ndo maisha yatakuwa mazuri? Ajira zenyewe ukiomba ukiwa na elimu kubwa unaambiwa YOU ARE OVERQULIFIED.
 
Jamani mimi Mtanganyika kazi yenyewe hii ya uwalimu bili imekuja toka 23,000 hadi 39,879/= si tunakoelekea jamani ni kukaa gizani kwa sie tusio kuwa nacho?

Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32


Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??

Mkuu unatumia LUKU au zile mita za kukadiria? Kama ni zile za kukadiria wakati mwingine huwa wanakosea. Kuna dada mmoja waliwahi kumpelekea bili ya laki tatu ndani ya mwezi mmoja utafikiri ana kiwanda nyumbani kwake. Maji nayo je? Una mita? Au nazo ni zile wanakukadiria tu mwisho wa mwezi?. Kama una mita ni rahisi kufahamu tatizo liko kwako au wamekubambika. Mimi watu wa maji wamewahi kuniletea bili ya laki tatu na 30 elfu kwa mwezi mmoja kisa aliyesoma mita alipeleka data za uongo ofisini kwao. Nimehangaishana nao mpaka kwa wakubwa wao wameirekebisha sasa. Kwa kifupi umeme na maji wamepandisha sana gharama zao.
 
Jamani mimi Mtanganyika kazi yenyewe hii ya uwalimu bili imekuja toka 23,000 hadi 39,879/= si tunakoelekea jamani ni kukaa gizani kwa sie tusio kuwa nacho?

Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32


Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??

sio peke yako, yaan sisi wameleta 35,900 kutoka 15,000 wakati matumizi ni yale yale, ipo siku tutawafundisha adabu.
 
Mi nilipopanga LUKU imekua ishu mpaka tunahisi kuna mtu anatumia jiko la umeme kumba mambo yenyewe ndio imekua kila mahali jamani twafwa
 
bora malipo hayo yangekuwa yakiendana na huduma nzuri,lakini wapi umeme unakatika kuanzia asubuhi hadi jioni na bado unaletea bill ya 20,000/= sasa hebu fikilia je umeme ungekuwa unawaka kuanzia asubuhi ungelipa kiasi gani?
 
Jamani mimi Mtanganyika kazi yenyewe hii ya uwalimu bili imekuja toka 23,000 hadi 39,879/= si tunakoelekea jamani ni kukaa gizani kwa sie tusio kuwa nacho?

Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32


Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??

kuhusu umeme karibuni ktk chama changu cha watumiaji wa SOLAR


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom