BIN BOR
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 1,013
- 407
Kuna tabia imezuka kwa muda sasa, ikifika saa moja au mbili usiku wanakata umeme. Hakuna mvua au radi (ambavyo huwa visingizio vyao) au maelezo yoyote yanayotolewa na kisha baada ya lisaa hivi ndipo wanarudisha. Wiki imetokea hivi kila siku. Wakazi wa huku tunajiuliza kuna nini?
Zamani za magendo ya mafuta hali hii ilikuwa inatokea sana, na kwa sababu ilikuwa miaka ile ya mgao wengi walichukulia poa huku malori yakivusha magendo gizani. Je, hata wakati huu wa "juhudi" napo shirika linatuweka gizani ili kuvusha magendo?
Wenye kung'ata tafadhali imulikeni TANESCO Bagamoyo.
Zamani za magendo ya mafuta hali hii ilikuwa inatokea sana, na kwa sababu ilikuwa miaka ile ya mgao wengi walichukulia poa huku malori yakivusha magendo gizani. Je, hata wakati huu wa "juhudi" napo shirika linatuweka gizani ili kuvusha magendo?
Wenye kung'ata tafadhali imulikeni TANESCO Bagamoyo.