iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Kuna mkuu mmoja aliwatuhumu tanesco kwamba huwa wanafungulia maji usiku ili mabwawa yaonekane hayana maji,mgao uanze wapige dili za mafuta na jenereta,Mwaka huh mvua no nyingi sana,hatutarajii muendelee kutukatia umeme kama mnavyofanya,natoa wito wale wanaofungulia maji wakamatwe